Alijifanya kidume, nimemlaza lock up

Sasa kumlaza lockup ndo suluhisho ili asikupige tena?? Au unataka kuogopwa!?

Kesho tu unaenda kumtoa mwenyewe, anakulainisha, anakugonga maisha yanaendelea. Mwisho wa siku utamuomba msamaha.

Umekurupuka kama alivyokurupuka mumeo, ninyi ni wakurupukaji hivyo ni mikurupoko².
 
Kuna msemo unasema, "Ukishamzingua mtu, basi usimchagulie silaha",,,Mumeo ulipomzingua hio ndio ilikuwa silaha yake,, nawewe pia alivokuzingua hio ndio silaha yako.

Kuna uzi hapa usome kwa akili kubwa utajifunza kitu

 
Ulivyo wa hovyo eti unakuja kujimwambafai humu JF, umemkomoa!! Ulikuwa unampenda kweli? Na kama hukumpenda kwa nini ulikuwa ukimpanulia ma.pa.ja?
 
Polisi sio sehemunzuri kumpeleka mwenzio km mmechokana muachane tu jamn mpenzwako ukamlaze ndani kwel
Ukipata kibano utatangulia tu, kama yule aliyekatwa mikono, mtu anakutishia nitakukomesha utampeleka wapi ? Au utaondoka tu kwenu bila kuripot akikuvizia ndani kama dish lake limeyumba apelekwe wakalinyooshe hakuna namna.
 
Eti teke la ubavuni? Kaipata halali yake huko
 
Ukipata kibano utatangulia tu, kama yule aliyekatwa mikono, mtu anakutishia nitakukomesha utampeleka wapi ? Au utaondoka tu kwenu bila kuripot akikuvizia ndani kama dish lake limeyumba apelekwe wakalinyooshe hakuna namna.
Hawa wanajiongelesha tu hapa
 
Maisha magumu hivi, kuna Watanzania wenzetu mnapata muda wa kurushiana mangumi?
 
Niliwahi kulala lock up, kuna mwamba alikuja na kesi kama ya jamaa yako.

Kipindi polisi wanamleta 'lock up' wakawa wanamuambia, "we jamaa, hivi mkeo anakuleta huku, ili alale na nani?, Ni kweli mmeshindwa kuyamaliza? Haya twende ndani"...

Tukiwa ndani jamaa aliahidi kuchukua nguo na kusepa.
 
Msije mkarudiana bure ..tukaja kusutwa ngoja nikae kimya tu[emoji1]
 
Umezingua wewe ajuza, na kuileta hio story hapa inadhihirisha una mdomo sana na mshari thus y ukapigwa.
Hapo polisi una bwana pia nadhani.
 
Umezingua wewe ajuza, na kuileta hio story hapa inadhihirisha una mdomo sana na mshari thus y ukapigwa.
Hapo polisi una bwana pia nadhani.
Nikome
 
Siku ingine akikupiga sio unampeleka lock up unawaitia watu ananiua aniua uwiii piga makelele ananiua. Utaona anapigwa kifo cha mwizi hatorudia.

Ingine unakaa kimya hamsini ni nyingi ongea na maskani wavuta bangi wa mvizie wa mkung'ute wewe halafu wanajidai ni simu walikuwa wanaiba hapo napo umenena au polisi unaenda pale huku unalia unaomba asifungwe huko afunzwe adabu aloo anapigwa mijeledi za kutosha wanamkung'uta hiyo ni nguvu ya jeroo tu.

Tena wewe wakike ila kama wewe ni wakiume sio fresh ungempiga wewe au utengeneze fumanizi ufumaniwe halafu yule dada awaite wenzie wampige kifo cha mwizi halafu ukishamwona umemzima basi.

Unajidai unaokoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…