Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
"Naomba nitumie nafasi hii kuwapongeza coastal union Kwa kukubali kucheza na Yanga Kwa maana Kuna timu ni kubwa jinga ilikula Kona"
WAGOSI wa Kaya msijilaumu sana kwa hichi kinachowatokea maana wananchi wanasema hii haikuwa dhahama yenu ila hawana jinsi na huyu Top score wa Ligi Clement Mzize anaweka kambani chuma cha tatu kwa Yanga [emoji119]
Dk 38, Yanga 3 - 1 Coastal
#KishambaUPDATES
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
WAGOSI wa Kaya msijilaumu sana kwa hichi kinachowatokea maana wananchi wanasema hii haikuwa dhahama yenu ila hawana jinsi na huyu Top score wa Ligi Clement Mzize anaweka kambani chuma cha tatu kwa Yanga [emoji119]
Dk 38, Yanga 3 - 1 Coastal
#KishambaUPDATES
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app