Na wewe pia unajiita ni shabiki wake .........??Jana hakukua na show dodoma acha umbea wa kitoto
Jana hakukua na show dodoma acha umbea wa kitoto
HaterIwe habari sahihi au si sahihi,lakini wewe unaonaje "kwa hadhi" mnayompa ya "king" ku perfom kwenye ukumbi unaochukua watu 100 iko sawa hiyo ???
Watu kama nyie ndiyo mnamuweka kwa league, mwacheni afanye yakeKazi Kweli, Kiba Afanye Muziki Wake
Mambo Ya Kulazimisha League Na Domo Yatampasua Tumbo Siku Moja
malizia "in peace"Kiba mnamlazimisha2 kwenye game ,,,, let him rest
na watu kama nyinyi ndio mnamfanya kibakuli aendelee kuwa mjingaKama kawaida bila kumtaja mfalme Kiba siku haijapita
Bad....thats very baaddd..Sio kwamba promota alizingua bali management ya Kiba iliona aibu kumpandisha msanii wao wakati watu hakunaa!!
Ni kwamba show ilikosa watu kabisaa,ikabidi Ally azugezuge mpaka saa nane ndio akapanda na kukuta watu wamepungua zaidiii ya mwanzo,akasema show haipo mpaka tarehe 28,wacha watu wamrushie makopo ya bia!!
Unaambiwa karushiwa chupa haswa jana mpaka akaondoka jukwaani..picha nitawaletea