Alikiba agoma kufanya show Dodoma, vurugu zatokea

Alikiba agoma kufanya show Dodoma, vurugu zatokea

Ali kiba inabidi aongezee watu wenye akili kwenye timu yake
 
Kiingilio hakikuwa 25,000 acheni kuongeza sifuri, ilikuwa ni buku mbili jero. Hata hivyo wagogo wanatia aibu kwa kuleta vurugu kwa hela ndogo hivyo
Unadhani wagogo wanaenda kwenye show? Dodoma wanachuo ndo waudhuriaji
 
25000 kwa Dodoma na maisha yalivyo magumu hapo .!!! Too much
 
Sio kwamba promota alizingua bali management ya Kiba iliona aibu kumpandisha msanii wao wakati watu hakunaa!!

Ni kwamba show ilikosa watu kabisaa,ikabidi Ally azugezuge mpaka saa nane ndio akapanda na kukuta watu wamepungua zaidiii ya mwanzo,akasema show haipo mpaka tarehe 28,wacha watu wamrushie makopo ya bia!!

Unaambiwa karushiwa chupa haswa jana mpaka akaondoka jukwaani..picha nitawaletea
 
Kuropoka ndo ajira yetu na ambavyo ajira za walimu wa arts zimefungwa naona topc y threats of the world peace ina Fany kaziii,,,,umeona wap kweny account y kiba kapost show Dodoma ?????
 
Acheni uwongo Alli hakua na shoo jana me nipo dodoma apa jana kulikua na shoo ya Mc pilipili tu pale royal village na trh 24 alikua darasa dodoma royal village..
 
Sio kwamba promota alizingua bali management ya Kiba iliona aibu kumpandisha msanii wao wakati watu hakunaa!!

Ni kwamba show ilikosa watu kabisaa,ikabidi Ally azugezuge mpaka saa nane ndio akapanda na kukuta watu wamepungua zaidiii ya mwanzo,akasema show haipo mpaka tarehe 28,wacha watu wamrushie makopo ya bia!!

Unaambiwa karushiwa chupa haswa jana mpaka akaondoka jukwaani..picha nitawaletea
Bad....thats very baaddd..
 
Back
Top Bottom