Tetesi: Alikiba alipwa mabilioni uzinduzi wa Tecno Phantom 6 plus huko Dubai!!

Ndugu yangu uwe unafwatilia mambo hata kwa mbali...Zambia pesa yao ina thamani mara mia mbili ukilinganisha na shiling ya TZ...

1.00 ZMW = 217.443 TZS
Labla alitaka kumaanisha hela ya Zimbambwe
 
Hakuna jipya.......mikwala ya media........hao techno wangekuwa na hiyo function wangemchukua diamond
 
Hii ni kweli kaingiza mshiko wa maana
Jamaa ana zali la mentali
Huko mtv anawania tuzo ya colaboration
Hapo hapo amepangwa kutumbuiza stejini na kina yemi alade
Kana kanyota ka bahati kweli hivi sasa
Hongera king kiba
 

Mkuu punguza mahaba....kama havieleweki kawaje msanii mkubwa?
 
Jiongeze kidogo-- wangekuwa na mabilioni ya kulipa pro tu basi hata wasingetafuta soko Dubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…