Alikiba anajiita GOAT eti

GOAT sio nickname ni kifupi cha GREATEST OF ALL TIME halijaanza kutumika leo mzee...
Kiba n mzee wa kuiba ..hata Ile "Ye Baba" ni ya kina mandojo na domokaya
Hiyo goat n ya fid q

Ndugu yake dimpoz naye Ile PKP (Poz kwa poz)
Ni km alicopy
Kwa Maujanja supplier wazee wa Pasu kwa Pasu PKP
 
Timu domo kaya elimu zero. Eleweni kwanza maana ya neno GOAT ndo mje mlalamike haimaanishi mbuzi jamani
.
Ila sasa tukizungumza katika ukweli Sio fid q wala ali kiba ambaye ana,stahiki hiyo kofia ya hilo neno...Hilo ni neno kubwa sana...na linatumika kwa watu wakubwa walioweza kuleta michango mikubwa dunia nzima.
 
Ni bongo pekee watu wanajipachika tu vyeo wasivyostahili. Tumeshazoea mkuu,tunaishi kwa style ya raha jipe mwenyewe ukisubiria kupewa utaumia
.
Ila sasa tukizungumza katika ukweli Sio fid q wala ali kiba ambaye ana,stahiki hiyo kofia ya hilo neno...Hilo ni neno kubwa sana...na linatumika kwa watu wakubwa walioweza kuleta michango mikubwa dunia nzima.
 
Kiba n mzee wa kuiba ..hata Ile "Ye Baba" ni ya kina mandojo na domokaya
Hiyo goat n ya fid q

Ndugu yake dimpoz naye Ile PKP (Poz kwa poz)
Ni km alicopy
Kwa Maujanja supplier wazee wa Pasu kwa Pasu PKP
GOAT wameanzavkujiita huko mbele so hata huyo FID naye kaiba.
Kwa bongo labda jay dee...professa j...nature na sugu labda kwa kizazi kipya ndio wana hadhi ya kuitwa GOAT....
 
Maneno mengi mziki hamna, anakipaji ila ndo hivyo tena si mjanja na anamizarau ya kizaman sana
Akili mali
 
Eti GOAT ya Fid Q [emoji3][emoji3].. Ebu tafuta kazi ya kufanya, uhame hapo kwa shemeji yako!
Kiba n mzee wa kuiba ..hata Ile "Ye Baba" ni ya kina mandojo na domokaya
Hiyo goat n ya fid q

Ndugu yake dimpoz naye Ile PKP (Poz kwa poz)
Ni km alicopy
Kwa Maujanja supplier wazee wa Pasu kwa Pasu PKP
 
Ni bongo pekee watu wanajipachika tu vyeo wasivyostahili. Tumeshazoea mkuu,tunaishi kwa style ya raha jipe mwenyewe ukisubiria kupewa utaumia
Kama wewe ulivyojipachka ' No 1.Hater' kwa Mondi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikiwa namba one akina diva ,soudy watakua namba ngapi,acha hizo
Kama wewe ulivyojipachka ' No 1.Hater' kwa Mondi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nikiwa namba one akina diva ,soudy watakua namba ngapi,acha hizo
Hao wala hawa 'HATE' ..Magetoni mwao wanmcheza Mondi Mpaka wanaota viazi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…