playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond akaiba baba lao, the one na yope safiii maisha yanaendeleaKiba n mzee wa kuiba ..hata Ile "Ye Baba" ni ya kina mandojo na domokaya
Hiyo goat n ya fid q
Ndugu yake dimpoz naye Ile PKP (Poz kwa poz)
Ni km alicopy
Kwa Maujanja supplier wazee wa Pasu kwa Pasu PKP
Kwa nafasi yake nae ana stahili bwana miaka 17 kwenye industry and he is still there si mchezo muulizeni PNC.Acheni fikira hasi...GOAT ni neno ambalo lina wasifu wa Greatest of all time.... hili ni neno halina hati miliki kwa mtu yeyote...hata wewe unaweza ukajiita hivyo..endapo tu kama utajiona kuwa unasifa zinazo stahiki Kuitwa/kujiita hivyo...
Ila sasa tukizungumza katika ukweli Sio fid q wala ali kiba ambaye ana,stahiki hiyo kofia ya hilo neno...Hilo ni neno kubwa sana...na linatumika kwa watu wakubwa walioweza kuleta michango mikubwa dunia nzima.
Great Of All Time ([emoji238])
Kwa kuipeleka bongofleva mbali kaka nawe unaweza kuwa GOAT kwa ukuwadi yote maisha tuu.Hapana sio Sawa yeye kujiita great of all time hajaacha alama yoyote ya kukumbukwa kwenye mziki watu Kama Lionel Messi ni sahihi kujiita GOAT kafanya mengi kwenye soka kachukua tuzo za dunia nyingi kulko mchezaji yoyote sasa Huyu wa Tz anaejiita Mbuzi kwa lipi?
Kibamia yule king wa wajinga ote tanzaniaSorry..Ndio nani huyo kiba!!
Bonge la point afu like moja daah watu wana roho mbaya sana mwanangu sema nn kaza.Kama Ni Goat Ya Mbuzi Yupo Sawa Bt Ile Nyingine Anajitekenya Bure
Platnam ndo nan?Mpaka sasa msanii wa tanzania anayeweza kupewa wadhifa wa GOAT ni Platnumz pekeake. We utajiitaje GOAT wakati hupendi showoff, interviews hutaki kuzungumziwa hutaki labda wewe ni GOTI sio GOAT!
Labda kama GOAT itakuwa inamaanisha msanii mwenye MDOMO MKUBWA.Mpaka sasa msanii wa tanzania anayeweza kupewa wadhifa wa GOAT ni Platnumz pekeake. We utajiitaje GOAT wakati hupendi showoff, interviews hutaki kuzungumziwa hutaki labda wewe ni GOTI sio GOAT!
Na ilikuwa usiku so haina tabu.Hiyo aliyovaa sio Night dress jamani?!
Anhaa so pale ndo ukaingia deep kwenye kuelezea PKP siyo?...haya MR DEEPERWe kweli kiande , me hapo nimezungumzia PKP ... Ila nimeelezea deep ili kwa watu empty set km ww uelewe ... Sio bure wanakuweka itakua
Hapo utaharibu ukiambiwa pika uji afu ukajaza unga mwingiii unakuwa ugali siyo uji tena...asa goatest manake ni SHOGA.Basi Mondi ni Goatest
So ndo ukaelewa kwamba GOAT kamanisha mbuzi??..safi sanaMbuzi kwa Simba ni chakula tu
So CLOUDS na WATU wakakaa kikao jamani eeeeh "TUMHURUMIE HUYUUU" na huruma kwake ikaanza...dah basi CLOUDS na WATU wana hatari sana hahahaaKAMA KAJIITA GOAT YA MBUZI SAWA ILA KWA ILE NYINGINE HUYU PIMBI ANACHANGANYA MAFAILI, HUYU NI Q CHILLAH ANAEBEBWA NA HURUMA YA WATU NA CLOUDS, HANA CHOCHOTE CHA KUITWA GOAT
Nawashangaa ndo maana mwanangu umekaa HUJAKOMENT wala nn coz hupend kuhangaika na mambo ya watu NAKUKUBALI SANA.Mnahangaika sana na mambo ya watu
Tz SIMBA ni TIMU otherwise amalizie SIMBA JIKE ndo tutamuelewakwa iyo yule anajiita simba na huu ni mbuzi?
So na yule anayejiita SIMBA itabidi tumuite YANGA now hapaswi kujiita kumbeKabisa messi hajiiti...Anaitwa na wadau wa michezo