Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
Hao wala hawa 'HATE' ..Magetoni mwao wanmcheza Mondi Mpaka wanaota viazi..
Eti GOAT ya Fid Q [emoji3][emoji3].. Ebu tafuta kazi ya kufanya, uhame hapo kwa shemeji yako!
Anapata wapi ujasiri ikiwa views million 25 tu Youtube ni ndoto yake au G.O.A.T wa sauti?
Maneno huumba
Wivu tu huo mkuuMpaka sasa msanii wa tanzania anayeweza kupewa wadhifa wa GOAT ni Platnumz pekeake. We utajiitaje GOAT wakati hupendi showoff, interviews hutaki kuzungumziwa hutaki labda wewe ni GOTI sio GOAT!
Kwa mziki wa bongo fid anayo hio haki anaelekea miongo miwili kwenye game na hana dalili ya kupotea anytime soon, kiba was great once upon time.Acheni fikira hasi...GOAT ni neno ambalo lina wasifu wa Greatest of all time.... hili ni neno halina hati miliki kwa mtu yeyote...hata wewe unaweza ukajiita hivyo..endapo tu kama utajiona kuwa unasifa zinazo stahiki Kuitwa/kujiita hivyo...
Ila sasa tukizungumza katika ukweli Sio fid q wala ali kiba ambaye ana,stahiki hiyo kofia ya hilo neno...Hilo ni neno kubwa sana...na linatumika kwa watu wakubwa walioweza kuleta michango mikubwa dunia nzima.
ππππππππππKuna GOAT na G.O.A.T muwe mnatofautisha hapo ndio mtaelewa nini ni kipi
Hiyo kama shumizi yakikeHiyo aliyovaa sio Night dress jamani?!
Acheni fikira hasi...GOAT ni neno ambalo lina wasifu wa Greatest of all time.... hili ni neno halina hati miliki kwa mtu yeyote...hata wewe unaweza ukajiita hivyo..endapo tu kama utajiona kuwa unasifa zinazo stahiki Kuitwa/kujiita hivyo...
Ila sasa tukizungumza katika ukweli Sio fid q wala ali kiba ambaye ana,stahiki hiyo kofia ya hilo neno...Hilo ni neno kubwa sana...na linatumika kwa watu wakubwa walioweza kuleta michango mikubwa dunia nzima.
Sasa unacheka nini mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]