Alikiba anajiita GOAT eti

Kiba n mzee wa kuiba ..hata Ile "Ye Baba" ni ya kina mandojo na domokaya
Hiyo goat n ya fid q

Ndugu yake dimpoz naye Ile PKP (Poz kwa poz)
Ni km alicopy
Kwa Maujanja supplier wazee wa Pasu kwa Pasu PKP
Diamond akaiba baba lao, the one na yope safiii maisha yanaendelea

We nawe iba bwana wa dadako hahahaaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nafasi yake nae ana stahili bwana miaka 17 kwenye industry and he is still there si mchezo muulizeni PNC.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuipeleka bongofleva mbali kaka nawe unaweza kuwa GOAT kwa ukuwadi yote maisha tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAMA KAJIITA GOAT YA MBUZI SAWA ILA KWA ILE NYINGINE HUYU PIMBI ANACHANGANYA MAFAILI, HUYU NI Q CHILLAH ANAEBEBWA NA HURUMA YA WATU NA CLOUDS, HANA CHOCHOTE CHA KUITWA GOAT
So CLOUDS na WATU wakakaa kikao jamani eeeeh "TUMHURUMIE HUYUUU" na huruma kwake ikaanza...dah basi CLOUDS na WATU wana hatari sana hahahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…