me and I
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 1,540
- 1,357
Acha wivu mkuu pambana na hali yakoWanamuziki huwa wanajipa promo za pesa ndefu huku wakiwa wamechoka mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu mkuu pambana na hali yakoWanamuziki huwa wanajipa promo za pesa ndefu huku wakiwa wamechoka mbaya
hahahahaaaa kwan kashindanishwa na mondi jamaniii mbna mnawashwa nynyBado hatakuja hata kumkaribia Mondi. Hongera kwake lakini. [HASHTAG]#Fresh[/HASHTAG]
Nyinyi si ndio mnaohangaika kumlinganisha.. Muhenga huyo wakati wake umeshapitahahahahaaaa kwan kashindanishwa na mondi jamaniii mbna mnawashwa nyny
Sent using Jamii Forums mobile app
yule n zaidi ya muhenga yule n MTEMA KUNI ukiskia utakiona cha mtemakuni ujue utakiona cha KIBA kama anavyokiona DOMO now.Nyinyi si ndio mnaohangaika kumlinganisha.. Muhenga huyo wakati wake umeshapita
Kwahiyo unataka nisifie ndio uone sipambani na hali yangu? Sijui wewe unapambana na hali ya nani? Tambua pia jf ni forums so kama utakaa member wasitoe maoni jf si itakufa kibudu! Umejiunga humu kusoma unayoyapenda wewe tu au? Majuzi ati kiba ameikopesha Yanga 300m. Hizi promo ni uongo mtupu hakuna anayeweza kuwapa hizo pesa so mpumbavu lazima apingwe uongo wake
Nimewaza hivyo fastaYa zimbabwe? Alikiba hana thamani hata ya million 80 per show na huu ndio ukweli!
Alikiba alipwe hiyo hela kwa sababu zipi na kipi kipya?
Inasemekana gavana joho kampa nyumba mombasa pamoja na gari aina ya range na billion kadhaa.
Huko marekani baada ya show ya kufa mtu last week p square wamemuomba collabo wamemlipa tsh 200m
![]()
Jamii Forum sio sehemu ya kuropoka ropoka,kuna siku utaikataa ID yako na kuukataa uzi wako.Alikumbuka kuweka hakiba?
Jr[emoji769]
Mtoa uzi ashafariki kwa uongo wakeJamii Forum sio sehemu ya kuropoka ropoka,kuna siku utaikataa ID yako na kuukataa uzi wako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]