Alikiba apata dili la billion kumi

Alikiba apata dili la billion kumi

Hahahaaaa,kuna uongo unakaribianaga na ukweli,ila uongo huu yani unakaribiana na uongo square

HAYA KINA MANGE WENGIBE WA JF,ENDELEENI KUPAMBANA NA VIJANA WACHAPAKAZI NA WABUNIFU TOKA TANDALE

bila ndo boss wenu anazid kufulia hivyooo mpaka anapiga show za bar

DAAA LAKINI FRESH
 
Acha wivu mkuu pambana na hali yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unataka nisifie ndio uone sipambani na hali yangu? Sijui wewe unapambana na hali ya nani? Tambua pia jf ni forums so kama utakaa member wasitoe maoni jf si itakufa kibudu! Umejiunga humu kusoma unayoyapenda wewe tu au? Majuzi ati kiba ameikopesha Yanga 300m. Hizi promo ni uongo mtupu hakuna anayeweza kuwapa hizo pesa so mpumbavu lazima apingwe uongo wake
 
[emoji23][emoji23][emoji23]billion ya zimbabwe au hahaa za kuambiwa changanya na zako
 
Alikumbuka kuweka hakiba?
Inasemekana gavana joho kampa nyumba mombasa pamoja na gari aina ya range na billion kadhaa.

Huko marekani baada ya show ya kufa mtu last week p square wamemuomba collabo wamemlipa tsh 200m
20838144_1959959790948788_180119039924764672_n-jpg.573097

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom