Alikiba Ashinda tuzo kubwa za Nzumari Awards za nchini Kenya

Alikiba Ashinda tuzo kubwa za Nzumari Awards za nchini Kenya

Subiri usiku utazielewa vizuri

Tuzo za Fashion haaaah duh mmeamza vizia tuzo za fashion kutoka kwny mziki hadi fashion pwilo kweli king anamendea tuzo za fashion
 
Last edited by a moderator:
Ngojeni Nchi mbalimbalimbali barani Africa na nje ya bara Afrika,tutasikia kuhusu Diamond Platnumz.Si tulimnyooshaga #Pryanga Chopra.Now Diamond msanii wa Ulimwenguni kote.
UTANIPENDAGA??

Hivi huyo Copra ana wimbo gani? Mtu ni actress wa movie lakin akashindana na mwimbaj wa mziki, huo kama sio ukichaa ni nini??
 
Tuzo za Fashion haaaah duh mmeamza vizia tuzo za fashion kutoka kwny mziki hadi fashion pwilo kweli king anamendea tuzo za fashion

Ndio tatizo la Vijana mnaofatilia mziki kupitia instagram! Ngoja nikuoe elimu kidogo ya uraia.
Mziki si kuimba tu na beat, video na vocal, mziki ni fashion, yani msanii yeyote ni Fashion stylish, ndiomana kuna wasanii huwa wanaingia mkataba na makampun makubwa ya fashion na kuwavalisha sababu fashion ni sehem ya mziki.
Msanii unapofanya vizuri kwenye video zako, ngoma inapohit, hapo hadi fashion ya dressing code uliyoitumia automatically inakuwa imehit pia.

Ukifanya vibaya kwenye game hakuna mtu atakayependa hata style yako ya uvaaji.

Ndiomana utaona hata msanii wako Diamind aliwahi kushindanishwa kwny tuzo za fashion ghana.

Usipoelewa hapo nenda ukasikilize ile kaswida yenu ya jana, je utanipendwaga?
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyo Copra ana wimbo gani? Mtu ni actress wa movie lakin akashindana na mwimbaj wa mziki, huo kama sio ukichaa ni nini??

Kilaza ww et chopra ni actrees tu ushangalia movie za kihindi chopra movie zote anaimbiaga na anatunga nyimbo mwenywe kama ujui nyamaza
 
Ndio tatizo la Vijana mnaofatilia mziki kupitia instagram! Ngoja nikuoe elimu kidogo ya uraia.
Mziki si kuimba tu na beat, video na vocal, mziki ni fashion, yani msanii yeyote ni Fashion stylish, ndiomana kuna wasanii huwa wanaingia mkataba na makampun makubwa ya fashion na kuwavalisha sababu fashion ni sehem ya mziki.
Msanii unapofanya vizuri kwenye video zako, ngoma inapohit, hapo hadi fashion ya dressing code uliyoitumia automatically inakuwa imehit pia.

Ukifanya vibaya kwenye game hakuna mtu atakayependa hata style yako ya uvaaji.

Ndiomana utaona hata msanii wako Diamind aliwahi kushindanishwa kwny tuzo za fashion ghana.

Usipoelewa hapo nenda ukasikilize ile kaswida yenu ya jana, je utanipendwaga?

Elewa point yangu me nashangaa inakuaje mnagojea tuzo za fashion kwa hamu sana ivyo kweli unajiona upo sawa naona mziki umewashinda baada nagaramikia kubuma
 
Punguza povu mkuu! Leo ni siku ya Asfa Awards, subirin tuwatumbue jipu lingine, je utatupenda kwi kwi hehehe, tunawacheka kwa dharau

Tupe updates za asfa awards zishafanyika au bado
Cc Kidingi
 
Last edited by a moderator:
Tupe updates za asfa awards zishafanyika au bado
Cc Kidingi

ASFA award diamond na zari wameshinda tuzo ya best east africa stylish couple , akiwashinda vanesa na jux , jokate na kiba, huku best east africa male stylish ameshinda eddy kenzo kwa kuwapiku mond na kiba
 
Last edited by a moderator:
Kibaa hamfikiii diamonds hata punjeee

Ukweli ndio huu.
Diamond amejulika sababu ya Zari ila sio muziki wake.
Kumbuka Zari anajulikana sana S.A, Nigeria na U.K ambako amesomea na pia ana maduka ya fashion.

Pia scandals zimechangia umaarufu wake. Ni njia moja ya kuwa relevant katika hii game.

Wapo wanaojiset hata kutoa sex video zao online ndio watrend. Diamond ana kashfa nyingi za kubadilisha mademu.

Wapo wasanii wazuri kumshinda Diamond au lakini sababu hawapendi scandals wapo chini ya maji!
 
Ukweli ndio huu.
Diamond amejulika sababu ya Zari ila sio muziki wake.
Kumbuka Zari anajulikana sana S.A, Nigeria na U.K ambako amesomea na pia ana maduka ya fashion.

Pia scandals zimechangia umaarufu wake. Ni njia moja ya kuwa relevant katika hii game.

Wapo wanaojiset hata kutoa sex video zao online ndio watrend. Diamond ana kashfa nyingi za kubadilisha mademu.

Wapo wasanii wazuri kumshinda Diamond au lakini sababu hawapendi scandals wapo chini ya maji!

Mmerudi na kingine mnakumbuka alipokuwa na wema mlisema anatembelea nyota ya Wema na bado mtakomaa.
 
Asfa award diamond na zari wameshinda best est africa stylish couple akiwamwaga vanesa na jux, kiba na jokate
 
Sasa Kiba wenyewe fashion azitoe wapi, au lile kofia lake la mkeka?
 
ASFA award diamond na zari wameshinda tuzo ya best east africa stylish couple , akiwashinda vanesa na jux , jokate na kiba, huku best east africa male stylish ameshinda eddy kenzo kwa kuwapiku mond na kiba

Ila hiyo ya Eddy alitakiwa kupata Diamond, hilo lipo wazi sana hata kwa Africa nzima sioni mpinzani wake
 
Back
Top Bottom