Alikiba Ashinda tuzo kubwa za Nzumari Awards za nchini Kenya

Alikiba Ashinda tuzo kubwa za Nzumari Awards za nchini Kenya

mambo mengine muone aibu kumtaja diamond kuna watu hawalali na wengine wanaumwa kisa president dangote
 
Inamaana daimond kuna mtu ambaye hajamuelewa kweli miaka yote hii ! Dai anaujua huu mziki axheni masihala, ukitaka kuamini subilini ngoma nyingine inayokuja baada ya hii ya utanipenda
 
Ukweli ndio huu.
Diamond amejulika sababu ya Zari ila sio muziki wake.
Kumbuka Zari anajulikana sana S.A, Nigeria na U.K ambako amesomea na pia ana maduka ya fashion.

Pia scandals zimechangia umaarufu wake. Ni njia moja ya kuwa relevant katika hii game.

Wapo wanaojiset hata kutoa sex video zao online ndio watrend. Diamond ana kashfa nyingi za kubadilisha mademu.

Wapo wasanii wazuri kumshinda Diamond au lakini sababu hawapendi scandals wapo chini ya maji!

wewe ni chizi...!kwani diamond kaanza kupasua lini na huyo zari kaanza kutoka nae lini?diamond kimsingi ameanza kutoboa kimataifa hasa alipotoka na number one...sasa jiulize wakati number one inahit tayari alishakuwa na mahusiano ya wazi(if any) na zari?

umeharibikiwa!
 
wewe ni chizi...!kwani diamond kaanza kupasua lini na huyo zari kaanza kutoka nae lini?diamond kimsingi ameanza kutoboa kimataifa hasa alipotoka na number one...sasa jiulize wakati number one inahit tayari alishakuwa na mahusiano ya wazi(if any) na zari?

umeharibikiwa!

Video ya No.1 ilifanywa na Ogopa Vedios ya Kenya lakini ilifanyiwa South Africa ambapo kipindi hicho ndicho MUNGU wako Diamond alionana na GODESS wako ZARI. Upo?

Plus hiyo nyimbo, si ya kuiba tu!
 
Acha kudanganya watu wewe, Diamond hakuwepo kwenye uchafu huo.. Ali alikuwa anashindana na wakina shetta, dimpoz.. hata Sauti sol waliwatoa wasishindane na watoto.

Diamond kuanzia sasa huwezi kumkuta kwenye vituzo uchwara kama hivyo, KTMA, wala TUZO ZA WATU...

AAAH JE UTANIPENDAGAAA?

Khaaa....
 
Habari wakuu!
Alikiba maarufu kama KingKiba fundi na funguo ya Bongo flava, Ameshinda Tuzo kubwa za nchini Kenya (Nzumari Awards) kama Best Male Artist na song of the year "Chekecha"

Katika Category hizo, Alikiba alikuwa akishindana na wasanii wengine kutoka East Africa ikiwemo hasimu wake Diamond Platinumz.

Note: Asante kwa fans kwa support mliyotoa, zaidi tujue Mziki wetu ni mkubwa kuliko tuzo.

KUJUA KAZI RAHA SANA
KUTUNAWACHEKA KWA DHARAU hehehehe

Achaga uongo et kamgaragaza diamond thubutu huyu mwenzako vipi pwilo ana muwaza diamond tu tuzo mond akuwepo yeye anasema alikuwepo
 

Attachments

  • 1450160431963.jpg
    1450160431963.jpg
    37.5 KB · Views: 134
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom