pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
mambo mengine muone aibu kumtaja diamond kuna watu hawalali na wengine wanaumwa kisa president dangote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ndio huu.
Diamond amejulika sababu ya Zari ila sio muziki wake.
Kumbuka Zari anajulikana sana S.A, Nigeria na U.K ambako amesomea na pia ana maduka ya fashion.
Pia scandals zimechangia umaarufu wake. Ni njia moja ya kuwa relevant katika hii game.
Wapo wanaojiset hata kutoa sex video zao online ndio watrend. Diamond ana kashfa nyingi za kubadilisha mademu.
Wapo wasanii wazuri kumshinda Diamond au lakini sababu hawapendi scandals wapo chini ya maji!
wewe ni chizi...!kwani diamond kaanza kupasua lini na huyo zari kaanza kutoka nae lini?diamond kimsingi ameanza kutoboa kimataifa hasa alipotoka na number one...sasa jiulize wakati number one inahit tayari alishakuwa na mahusiano ya wazi(if any) na zari?
umeharibikiwa!
Acha kudanganya watu wewe, Diamond hakuwepo kwenye uchafu huo.. Ali alikuwa anashindana na wakina shetta, dimpoz.. hata Sauti sol waliwatoa wasishindane na watoto.
Diamond kuanzia sasa huwezi kumkuta kwenye vituzo uchwara kama hivyo, KTMA, wala TUZO ZA WATU...
AAAH JE UTANIPENDAGAAA?
Habari wakuu!
Alikiba maarufu kama KingKiba fundi na funguo ya Bongo flava, Ameshinda Tuzo kubwa za nchini Kenya (Nzumari Awards) kama Best Male Artist na song of the year "Chekecha"
Katika Category hizo, Alikiba alikuwa akishindana na wasanii wengine kutoka East Africa ikiwemo hasimu wake Diamond Platinumz.
Note: Asante kwa fans kwa support mliyotoa, zaidi tujue Mziki wetu ni mkubwa kuliko tuzo.
KUJUA KAZI RAHA SANA
KUTUNAWACHEKA KWA DHARAU hehehehe