Alikiba atoa tamko , awataka mashabiki waache kumtukana Wizkid aseme yeye ni shabiki wa Wizkid

HII HAPA MALAWI,SIO KILA SIKU UKITOKA TZ BASI NDUGU YAKO KAKUPA NAFASI YA UPENDELEO MOMBASA,TUZO HADI UZILILIE CHEZEA TUZO WEWE,ETI MIMI MUZIKI WANGU MKUBWA KULIKO TUZO LEO ANAZILILIA!!!!!!!!
 
Ukipata presha kwa hii kitu sihusiki,hapo unaitoa moja tu ya juu ndio wameshaifanya.Ye na aendelee kulilia tuzo na kuomba poo.
 
"MIMI NI ZAIDI YA WIZKID"KISHA UNAMUOMBA POOOO YA NINI !!!!!!!!!! UNAHOFIA NINI WAKATI WEWE NI ZAIDI YAKE ..................HILO JAMBO HATA HARMONIZE HAWEZI KULIFANYA KWA HUYO MTU.
 
NI AIBU SANA KWA MSANII UNAYEITWA "KING" NA MAZOMBI YAKO KULILIA TUZO,KITU AMBACHO HATA HARMONIZE HAWEZI KUKIFANYA.
 
KWA TUZO ZA KIMATAIFA HARMONIZE ANAZO TUZO NYINGI TENA HAJAZILILIA,KUTUKANA WALA KUANDAMANA KULIKO HUYO "king" MWENYE MOJA YA KUILILIA.
 
Ukipata presha kwa hii kitu sihusiki,hapo unaitoa moja tu ya juu ndio wameshaifanya.Ye na aendelee kulilia tuzo na kuomba poo.
ushabiki huo hzo show anatafta hata za vichochoroni ili aonekane yupo juu congo anarud mara ya ngap huko nigeria kaenda mara ngap...london je
 
Haters comments nyingi sana,lakini sometimes we must be real & do professional tuache mambo ya kiswaz swaz!! Tutaishia kufanya colabo nyingi nabado bet nk tutaishia kusnap shot tukiwa back seat
 
Haters comments nyingi sana,lakini sometimes we must be real & do professional tuache mambo ya kiswaz swaz!! Tutaishia kufanya colabo nyingi nabado bet nk tutaishia kusnap shot tukiwa back seat

 
Acha chuki za kishamba tatzo la tz mnachuki za kishenzi sana halafu sioni zinawapa faida gani. yaani nawashanga sana na mtu ukimchukia mtu ambae hana tatzo na ww unafaidika nn. ndio maana tutabak kua wa kijinga tu
Poa tu ila ujumbe umefika na kama magu tu.
 
huyi jamaa ana uswahili flani kama mashabiki wake ambao utamponza very soon
 
Some people are still alive just because its illegal to kill them.
 
Mbona mnahangaika na kiba wakat kiba haangaiki na ninyi. Mbona boss wako aliomba msamaha kwa davido.
Haijawai kutokea domo kumsujudia kumbe yyt muulize kiba atakujibu hana time na kikaragos yyt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…