Alikiba huwezi kuongea mbele ya camera au?

Alikiba huwezi kuongea mbele ya camera au?

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Leo katika pita pita yangu nimepita kwenye account ya instagram ya clouds FM nikaona Video ambayo Alikiba alikuwa ametengeneza tangazo la Coke studio kuonesha kuwa Jumapili hii atakuwa Coke studio.

Sasa yale manjonjo ya kujielezea mbele ya Camera jamaa naona hawezi kabisa au ni kuto kuzoea kabisa! kaanza Hey mambo vipi! Alikiba hapa mmmhh eeee Jumapili hii nitakuwa coke studio yani tangazo halina mvuto kabisa naona ni hawezi kuweka manjonjo na hajiamini akiwa mbele ya kamera.

Alie ona Hivyo video anaweza kupandisha hapa!

View attachment 591027
 
CAEMRA ?? ipoje?

Una haraka gani..?
Mashabiki wake waanza kufunguka
f31a9fe715f85054c78d7f1b343ad600.jpg
 
Nilimuona akihojiwa kwenye shilawadu Asee , anaongea kama hajui kuwa yy ni star na anaongea na public...."ni sipendi ujinga" ameitamka ka Mara 9 hivi...mi Sina timu nimezungumza nilichoona tu
 
Back
Top Bottom