Alikiba kawakataza Kings Music kufanya interviews Wasafi Media?

Kwahyo kutoona hao kings music wakifanya inyerview wasafi ndo ushaconclude lwamba alikiba kawakataza??duuu

we huoni tatizo hilo mkuu? alikiba kawakataza na hilo ni moja ya sharti alilowapa hao vijana. Mmojawapo akithubutu kwenda wasafi media kutambulisha ngoma au kufanya interview kwa namna yoyote ile basi kazi hana
 
Kipi kimekufanya useme kua Kiba ndio kawakataza wasanii wake na sio Wasafi Media hawajawaalika wasanii wa Kiba?

Je unaweza kuitetea hii hoja yako kwa ushahidi wa kuonekana na sio hisia?
 
Kipi kimekufanya useme kua Kiba ndio kawakataza wasanii wake na sio Wasafi Media hawajawaalika wasanii wa Kiba?

Je unaweza kuitetea hii hoja yako kwa ushahidi wa kuonekana na sio hisia?

kama ni msikilizaji wa wasafi radio au ukibahatika kutazama tv ya wasafi utagundua hilo, kuna kipindi kinaitwa block 89 sometimes watangazaji wanaweza wakaingizia story za kiba au kings music kwa uzuri kabisa (in apositive way) na dj anacheza ngoma zao utazani hakuna chochote kilichopo, ukifatilia mazungumzo yao kwa makini na busara utagundua kuwa kuna nguvu ya upande wa pili inayotumika either kutoka kwa kiba au meneja wake ili vijana wake wasiende pale na wasafi wanafanya kila jitihada wawepo pale ila wanaishia kuzungushwa. Fatilia hiyo media na vipindi vyake utagundua kitu.
 
Wafuas wa domo cjui nn kinawasumbua
Yan kidogo tu povu linawatoka mtaish kwa
Waswas mpaka lin
 
Swali ni?
Hicho kituo kilishawahi kuwaalika wasanii wa Kiba na yeye akawakataza au wenyewe wakakataa??

Ukinambia habari za kuongelea mambo yao au kupiga nyimbo zao bado hujathibitisha madai yako.
 
we huoni tatizo hilo mkuu? alikiba kawakataza na hilo ni moja ya sharti alilowapa hao vijana. Mmojawapo akithubutu kwenda wasafi media kutambulisha ngoma au kufanya interview kwa namna yoyote ile basi kazi hana
safi sana
 
Swali ni?
Hicho kituo kilishawahi kuwaalika wasanii wa Kiba na yeye akawakataza au wenyewe wakakataa??

Ukinambia habari za kuongelea mambo yao au kupiga nyimbo zao bado hujathibitisha madai yako.

hilo ni jibu pigia mstari.
 
Diamond anajua biashara na hapendi bifu ila huyo mtu wa kale ni mnafki na mswahili mwenyewe roho mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…