Alikiba kawakataza Kings Music kufanya interviews Wasafi Media?

Mwaka wa ngap mnasema hivyo na bado king anaendelea mbna hamjawah mshaur diamond akatafute suluhu na CLOUDS ili nyimbo za kina LAVALAVA wasiohusika zipigwe???..acheni zenu mnapuyanga mnamtafutia mtu USHINDI??
Best komed hawa jamaa timu domo ni manyumbu kweli..
 
Wale jamaa Ali Kina akienda wanam maliza musically,halafu mbona Ali Kina huwa hana time nao wana kuwa kama wanamtaja taja fata fata duh.Na hapa kwa nini mnakuwa kama mnataka Mo auze Azam Cola. 2pac enzi zake akapige show na BIG,man mpaka settlements za beef zifanyike.Next thing wakimzingua jamaa atatia ban wasafi wasipige nyimbo zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…