upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Utawasikia wakisema hapendi show-off,sijui wanajua hata maana ya show-off!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ya show off ni maneno ya kumkejeri Kiba hii ilikuja baada ya kusema aliwahi kuwa na label yake kipindi ambacho ajaanzisha label ya king music akaulizwa Kama ulikuwa na label hapo awali kwanini wasanii wake hawafahamiki akajibu kwasababu sipendi show off tokea hapo neno la show off lilitumika Kama kejeli we chunguza vizuri wote wanaosema show off utagundua ni mashabiki wa diamond au wasiompenda Kiba.Utawasikia wakisema hapendi show-off,sijui wanajua hata maana ya show-off!
Sisi mashabiki wa kiba tunampenda kiba kimyakimya hatupendi show off,yoooo.Hiyo ya show off ni maneno ya kumkejeri Kiba hii ilikuja baada ya kusema aliwahi kuwa na label yake kipindi ambacho ajaanzisha label ya king music akaulizwa Kama ulikuwa na label hapo awali kwanini wasanii wake hawafahamiki akajibu kwasababu sipendi show off tokea hapo neno la show off lilitumika Kama kejeli we chinguza vizuri wote wanaosema show off utagundua ni mashabiki wa diamond au wasiompenda Kiba.
Mapenzi yetu kwa kijana wa Kariakoo yako palepale.Alikuwa overrated sana hapo kipindi cha katikati, saahiz hata waliokuwa wakimshabikia wameufyata
Mmehama mmeenda kwa kondeboy acheni utani.Mapenzi yetu kwa kijana wa Kariakoo yako palepale.
😂😂😂 Konde boy ana nafasi yake ni kijana wetu Mtanzania mwenzetu lakini Ali is our King.Mmehama mmeenda kwa kondeboy acheni utani.
Wamekataza kushikana mikono ooh...tuwe makini na corona
😂 😂 😂 😂 ,kawaambukiza hadi nyie mashabiki kutopenda show-off..hv bado anakipiga Coastal Union au huwa hataki acheze mechi za ligi kuu sababu hataki show-off?sisi mashabiki wa kiba tunampenda kiba kimyakimya hatupendi show off,yoooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Kiba [emoji119]Alikuwa overrated sana hapo kipindi cha katikati, saahiz hata waliokuwa wakimshabikia wameufyata
sahivi hata show za nje anazifanya kimya kimya,hata tunzo anachkua kimya kimya,show off za nn bwana,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,kawaambukiza hadi nyie mashabiki kutopenda show-off..hv bado anakipiga Coastal Union au huwa hataki acheze mechi za ligi kuu sababu hataki show-off?
Mbona mashabiki wa mondi hawaami hiv umewahi kusikia fans wa mondi wanahama kwa mondi wanaenda kumshabikia msanii mwingine?nyinyi amumuamini msanii wenu ndomaana mnahama😂😂😂 Konde boy ana nafasi yake ni kijana wetu Mtanzania mwenzetu lakini Ali is our King.
Kwani nimesema tulihama?Mbona mashabiki wa mondi hawaami hiv umewahi kusikia fans wa mondi wanahama kwa mondi wanaenda kumshabikia msanii mwingine?nyinyi amumuamini msanii wenu ndomaana mnahama
Kama mashabiki wa Arsenal walivyokuwa wakihama na Henry,wamerudi baada ya Henry kustaafu.. 😂 😂Mbona mashabiki wa mondi hawaami hiv umewahi kusikia fans wa mondi wanahama kwa mondi wanaenda kumshabikia msanii mwingine?nyinyi amumuamini msanii wenu ndomaana mnahama
Nyinyi mnafanya ushabiki wa kukodi kwa kipindi ambacho kiba ajatoa ngoma mmeenda kwa kondeboy ila uwezi kukuta hata diamond asipotoa ngoma kwa muda mrefu huwezi kukuta mashabiki wake wameamia kwa msanii mwingine kwa muda na hii ndio sababu kubwa ya Diamond anafanikiwa Sana cos ana mashabiki real wanaamini kwenye yeye pekee wakisapoti wanasapoti kweli kweli ndo maana uwezi kukuta ngoma ya diamond inafeli ila mashabiki wa kiba ni mashabiki maandazi ndo maana kiba nafasi yake imepotezwa na sasa kachukua kondeboy game imebadilika now kiba anatakiwa apambane na kondeboy sio Tena mondi.Kwani nimesema tulihama?
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆Kama mashabiki wa Arsenal walivyokuwa wakihama na Henry,wamerudi baada ya Henry kustaafu.. 😂 😂
jamaa ana fans wengi bt maringo ka demu, acha mmakonde ajitwalie nafasi yake akijashtuka atakua kaishachelewa
Huyu jamaa namuelewaga sana anavyoimba, lakini kazubaa sana, anashindwa hadi na wakina Meja kunta, hajui kujiuza ndio maana hata deal za matangazo hapati, huyu jamaa yupoyupo tuu.
Kama mziki hawezi si bora akauze hata mitumba
Sent using Jamii Forums mobile app