Alikiba kuilaani rasmi bongo flava September

Hapo NISAMEHE ndiyo wimbo dogo Baraka kaua. Nyingine kawaida siyo kiviiileeeee
 
Alikiba ndiye msanii anayelipwa pesa ndefu kulko yoyote africa mashariki. Huu uwongo jmn uwe na vipimo ss. Bila ata haya
 
Alikiba ndiye msanii anayelipwa pesa ndefu kulko yoyote africa mashariki. Huu uwongo jmn uwe na vipimo ss. Bila ata haya
Uwe unabisha kwa facts basi!! Ukisema huu ni uongo basi unatakiwa kusema ukweli ni upi!!
 
Tuache utimu wakuu
 
Uwe unabisha kwa facts basi!! Ukisema huu ni uongo basi unatakiwa kusema ukweli ni upi!!
Ni logic 2 haina haja ya fact wala nm. Simple msanii anayelipwa mkwanja mrefu hapa bongo ni chibu dangote kubali kataa
 
Usifananishe Wizkid na vitu vya kijinga
Huna unalojua kuhusu mziki wewe,kama ally leo hii angekua nigeria sijui ingekuaje,tatizo huku kwetu bado sana ila wasanii tunao,ally ni hatari kw taarifa yako huyo wuzkd na vijimbo vyake viwili ndo kakushika sana
 
Hivi mSanii kutoa nyimbo nyingiii ndani ya mwaka mmoja hii inamaanisha nini?
 
akiilaani dunia ndo inakuwaje? au ndo jua linapatwa?
 
Huna unalojua kuhusu mziki wewe,kama ally leo hii angekua nigeria sijui ingekuaje,tatizo huku kwetu bado sana ila wasanii tunao,ally ni hatari kw taarifa yako huyo wuzkd na vijimbo vyake viwili ndo kakushika sana
Wizkid ana vijimbo VIWILI..!!?
Bila shaka utakua UNATANIA tu..!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…