Alikiba kuilaani rasmi bongo flava September

Alikiba kuilaani rasmi bongo flava September

Samahani,kingkiba anakulipa tsh ngapi?anatakiwa akuongeze posho!
 
Kiboko ya Wizkid, Fundi na Master wa game ya mziki wa Africa "Alikiba" ambaye kwa sasa ndiyo msanii anayeongoza Kulipwa fedha nyingi kwenye Show kuliko msanii yeyote Yule East Africa.
😀😀😀😀 we jamaa umevuta bangi leo?
 
KARIBU WCB.

Mkuu nimeangalia hiyo video nimemuona diamond katupia aina ya nguo ambayo kiba alisha itupia kitambo sana sasa inamaana huyo jamaa hana mtu anayemshughurikia kwenye upangiliaji wa mavazi mbaka anacopy kwa wasanii wengine?
1472221294456.jpg
 
Mkuu nimeangalia hiyo video nimemuona diamond katupia aina ya nguo ambayo kiba alisha itupia kitambo sana sasa inamaana huyo jamaa hana mtu anayemshughurikia kwenye upangiliaji wa mavazi mbaka anacopy kwa wasanii wengine?View attachment 388228
Hajam copy, ila DIAMOND kaenda kumuomba kiba lile lile la kwake na kampa,vipi kuna tatizo ????
 
Hajam copy, ila DIAMOND kaenda kumuomba kiba lile lile la kwake na kampa,vipi kuna tatizo ????
Mkuu...
Ili JIBU lako sio la KAWAIDA..!
Kama atakuwa amekuelewa utakua UMEMFUNDISHA kitu KIKUBWA sana..!
 
Yule Mwana Dar es Salaam, Kingkiba, Balozi wa wanyama, Msanii pekee aliyetoboa Kimataifa bila Collabo, Kiboko ya Wizkid, Fundi na Master wa game ya mziki wa Africa "Alikiba" ambaye kwa sasa ndiyo msanii anayeongoza Kulipwa fedha nyingi kwenye Show kuliko msanii yeyote Yule East Africa.

Mwezi September kwenda kushusha Laana 5 takatifu kupitia nyimbo mpya atakazoenda kuachia 2 zake binafsi na 3 alizoshirikishwa na wasanii wa ndani na nje ya nchi,

Wajuzi na watafiti wa duru za Burudani Africa Mashariki, Wanabashiri kuwa huenda ikawa ndiyo mwanzo na mwisho wa kufunga rasmi nyufa za mziki wa bongoflava ambazo zimekuwepo kwa miaka mingi, Ambapo kwa sasa wasanii wengi wamevamia game na kukop mziki wa Nigeria bila kuzingatia misingi ya mziki wetu wa asili, Mbaya zaidi na wengine kufika mbali kutumia kiki za kihafidhina na kununua tuzo ili kupush mziki wao unaosuasua.

Note:
Kila atakayesikia project hizo mpya za KingKiba, Hakuna hata mmoja atakayethubutu kumaliza luku yake kusikiliza nyimbo zenye unaijeria, kiki na promo za kipuuzi.

Stay tuned, #KAJIANDAE #AJE_REMIX #NISAMEHE #TUMESHINDIKANA #NIA_YAO
Acha kumchafua kiba na kumgombanisha na mashabiki wke
 
Mkuu nimeangalia hiyo video nimemuona diamond katupia aina ya nguo ambayo kiba alisha itupia kitambo sana sasa inamaana huyo jamaa hana mtu anayemshughurikia kwenye upangiliaji wa mavazi mbaka anacopy kwa wasanii wengine?View attachment 388228

Hehehehe,mkuu hiyo nguo Alikiba alivaa kwenye video ya Sauti Soul,halafu Mondi akaivaa kwenye birthday ya Raymond geto kwake...Nadhani utakuwa umenote kitu hapo....yaan nguo za Domo za kulalia geto yeye Alikiba anaona ndo za kutokea kufanyia shooting.
 
Hehehehe,mkuu hiyo nguo Alikiba alivaa kwenye video ya Sauti Soul,halafu Mondi akaivaa kwenye birthday ya Raymond geto kwake...Nadhani utakuwa umenote kitu hapo....yaan nguo za Domo za kulalia geto yeye Alikiba anaona ndo za kutokea kufanyia shooting.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1576][emoji1576][emoji1576]
 
Hehehehe,mkuu hiyo nguo Alikiba alivaa kwenye video ya Sauti Soul,halafu Mondi akaivaa kwenye birthday ya Raymond geto kwake...Nadhani utakuwa umenote kitu hapo....yaan nguo za Domo za kulalia geto yeye Alikiba anaona ndo za kutokea kufanyia shooting.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1576][emoji1576][emoji1576]
 
Back
Top Bottom