rakini=lakini mkuu sahihisha haraka kabla bibi FaizaFoxy hajakukutaKatika wimbo wake wa (Mnyama) Alikiba ametumia mistari kazaa kumchana Diamond Platnumz
UCHAMBUZI WA MSITARI HUO
unamjua simba mnyama? mnyama....
sio yule wa insta mnyama... mnyama...
huyo ni utopolo mnyama....mnyama...
Hapa ni wazi kamtaja diamond rakini kwa maoni yangu Alikiba hakukua na haja ya dongo hilo kwa msanii mwenzie kutokana na wimbo wenyewe unahusiana na nini
Wimbo ni mzuri rakini umeharibiwa na ka mstari hako tu
Yuda exalioth
jamiiforums
Geita Lulembela
View attachment 2707540
Mmmmh! wewe utakua siyo mdau wa Bongofleva, yawezekana ni mdau wa muziki wa dansi,nyimbo kama za kina Sikinde ngoma ya ukae.Watu wa bingo fleva,wanajua Simba ni nani na wakuitwa King ni nani.Mbona sioni Diamond
ni kweli sijausikiliza kabisa, ila naomba uniletee ushahidi wa mistari unaoonyesha jina la diamondTatzo hujauskiliza vzr
Naingia kashelo one time. Nikirudi nitakuchek.Hapo panavurugu sana mkuu mziki wa fujo nipo hapa Nduru Lodge nmetulia