Alikiba kumtaja Diamond Platnumz kwenye wimbo wake wa Mnyama

Alikiba kumtaja Diamond Platnumz kwenye wimbo wake wa Mnyama

Yaani lulembela nilipita naenda ushirombo kwa akina USHIMEN,kuna mtombo sio wa nchi hii. Nilijikumbatia mpaka asubuhi na nyeto juu.
Awam hii ukipita hautojuta najua ilikua miaka ya nyuma sana
 
Katika wimbo wake wa (Mnyama) Alikiba ametumia mistari kazaa kumchana Diamond Platnumz

UCHAMBUZI WA MSITARI HUO

unamjua simba mnyama? mnyama.

sio yule wa insta mnyama... mnyama...

huyo ni utopolo mnyama....mnyama...

Hapa ni wazi kamtaja diamond lakini kwa maoni yangu Alikiba hakukua na haja ya dongo hilo kwa msanii mwenzie kutokana na wimbo wenyewe unahusiana na nini

Wimbo ni mzuri lakini umeharibiwa na ka mstari hako tu


Yuda exalioth
jamiiforums
Geita Lulembela


View attachment 2707540
Mbona Yule naye alimpopoa konde, kwenye Bora nienjoy, verse ya kwanza, kafumba pale, kilichomponza ufala, kujiona Simba kumbe swala,mapenzi uchwara
 
Asa huyu Kiba naee😂😂😂
Anyway ni mbinu ya kutafuta attention
 
Mimi siyo mtaalamu wa nyimbo za mabifu.

Kwahiyo kwa maoni yangu ukinisoma vizuri utagundua kitu ya kwamba sijui cha kuandika kwakua tangu mwanzo nilishasema mimi siyo mtaalamu wa nyimbo za mabifu
Tunakujua ww ni mbobezi wa comment za mabifu kama hii
 
Katika wimbo wake wa (Mnyama) Alikiba ametumia mistari kazaa kumchana Diamond Platnumz

UCHAMBUZI WA MSITARI HUO

unamjua simba mnyama? mnyama.

sio yule wa insta mnyama... mnyama...

huyo ni utopolo mnyama....mnyama...

Hapa ni wazi kamtaja diamond lakini kwa maoni yangu Alikiba hakukua na haja ya dongo hilo kwa msanii mwenzie kutokana na wimbo wenyewe unahusiana na nini

Wimbo ni mzuri lakini umeharibiwa na ka mstari hako tu


Yuda exalioth
jamiiforums
Geita Lulembela


View attachment 2707540

Mpigie Diamond mjulishe! Hivi Kiba kafanya jambo gani la Maana siku ile? Ujinga tu.
 
Back
Top Bottom