Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
ngoma kali sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona na wewe unafanana ki mbogwe mbogwe?Hivi hapo lulembela kumbe Kuna watu wanatumia jf!!!!!?
Pole mkuuMbona na wewe unafanana ki mbogwe mbogwe?
🤣🤣🤣🤣🤣Unauliza Kumbe na jibu unalo mkuu njoo Masasi PUB Ule mdudu
Mkubwa wa MezaUnauliza Kumbe na jibu unalo mkuu njoo Masasi PUB Ule mdudu
Aaah we unamjua Simba mnyamaUCHAMBUZI WA MSITARI HUO
unamjua simba mnyama? mnyama.
sio yule wa insta mnyama... mnyama...
huyo ni utopolo mnyama....mnyama...
AsantePole mkuu
Vip jioni utakua masasi pubAsante
Simba MNYAMA au tuseme MNYAMA SimbaAhaa hapo aliamua kuwatofautishia mashabiki ya kwamba wanamjua simba anaemuongelea, kwamba sio Sio diamond simba wa UTO huyo alimuita ni simba wa kwenye magazeti na insta
Nayule simba anaemzungumzia hapo ni Simba SC
Mie si mwenyeji wa lulembela, napitaga tu hapo nikielekea ushirombo kwa wazee.Vip jioni utakua masasi pub
Upo upande Gani mkuuNitakuepo njooo Tule tunywe tubadilishiane mawazo
Lulembela kakijiji ka maraha ya papuchi. Kulaneni sana mbwa Mimi.Katika wimbo wake wa (Mnyama) Alikiba ametumia mistari kazaa kumchana Diamond Platnumz
UCHAMBUZI WA MSITARI HUO
unamjua simba mnyama? mnyama.
sio yule wa insta mnyama... mnyama...
huyo ni utopolo mnyama....mnyama...
Hapa ni wazi kamtaja diamond lakini kwa maoni yangu Alikiba hakukua na haja ya dongo hilo kwa msanii mwenzie kutokana na wimbo wenyewe unahusiana na nini
Wimbo ni mzuri lakini umeharibiwa na ka mstari hako tu
Yuda exalioth
jamiiforums
Geita Lulembela
View attachment 2707540