AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Mfalme wa Bongo Flavor Alikiba, aendelea kutoboa anga za kimataifa baada ya kuchaguliwa kuwa miongoni mwa watumbuizaji wa event kubwa ya Afrima Awards nchini Nigeria ambapo kwa mujibu wa ratiba ya Afrima Alikiba ataungana na msanii wenzake Wizkid ambapo watafanya collabo performance on the stage. Event hiyo itafanyika jijin lagos- Nigeria tarehe 10/10/2015.
Ikumbukwe kwa waandaaji wa Afrima moja ya criteria ya kumchangua msanii huwa ni lazima awe kafikisha kura zinazozidi washindani wake kwa zaidi ya 20% alionao kwenye category 1 kwa muda usiopungua mwezi mmoja na week 2 tangu zoezi la upigaji kura kuanza.
Alikiba yupo katika Category 4.
1.Best song of the year in Africa (Mwana)
2Best male artist of the year in Africa
3.Best song writer of the year in Africa
4.Best Male Artist in East Africa
Ikumbukwe kwa waandaaji wa Afrima moja ya criteria ya kumchangua msanii huwa ni lazima awe kafikisha kura zinazozidi washindani wake kwa zaidi ya 20% alionao kwenye category 1 kwa muda usiopungua mwezi mmoja na week 2 tangu zoezi la upigaji kura kuanza.
Alikiba yupo katika Category 4.
1.Best song of the year in Africa (Mwana)
2Best male artist of the year in Africa
3.Best song writer of the year in Africa
4.Best Male Artist in East Africa