AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
- Thread starter
- #61
Maadazi ww muambie kibakuli atume kazi zake ila naona kashchelewA
Basi utaratibu ule wa zaman utakuwa umebadilishwa, kama siku hizi ndio hiv basi hizi tuzo zishakuwa mandazi kama zingine