Mbona unaikimalia hiyo nyimbo mbona NIKIFA KESHO hujaitaja au sio nyimbo?Wimbo gani kimasomaso au
Ushamba tena ww au cc et unajisifia followers wa tiffan ni wengi kuliko wa mtoto wa kiba sasa hapo nani mshambaIzo ndo picha unajivunia coke studio diamond kafanya coke studio misimu mi3 dah punguzeni ushamba
Mkuu huamini au?hahahaahhhaahghhahaaha kawadanganye kijijininkwenu haahaaaah kibakuli hajawahi kushinda tuzo ya kimataifa labda awe alijitahidi hapo kenya tuzo za genge
hahahaahhhaahghhahaaha kawadanganye kijijininkwenu haahaaaah kibakuli hajawahi kushinda tuzo ya kimataifa labda awe alijitahidi hapo kenya tuzo za genge
Wimbo gani kimasomaso au
Hongera bwana kibakuli..
mkuu ni matusi ama?mm nimesema domo kweli?naaa,ukweli c ana mdomo mkubwa?
mkuu cjutii kusema shabiki wa domo nyinyi wapumbavu sana.hujui hata kama kiba ana tuzo za BEFTA akiwashinda Beyonce na akon,2face.usiniambie ety weka picha maana hata picha c kielelezo tosha.read about kiba.
Hongera bwana kibakuli..
Mkuu vepee nan katukanwa?
Hilo ndio jina lake kibakuli..na yule mwingine anaitwa domo...
Kuna tatzo?
binadamu wa kawaida kama ww lazma kiba utumie jina la heshima.yule mwengne hana lolote ni domo
mkuu cjutii kusema shabiki wa domo nyinyi wapumbavu sana.hujui hata kama kiba ana tuzo za BEFTA akiwashinda Beyonce na akon,2face.usiniambie ety weka picha maana hata picha c kielelezo tosha.read about kiba.
Haaaah we Kilaza unasoma Wikipedia me pia mda huu naweza kwenda kuandika kibakuli Ana tuzo 7 za Grammy usiwe unachukua kila kinachoandikwa through internet
Mkuu umeanza kufatilia mziki baada ya Nenda kamwambie nini, kwanza sina hakika kama hata tuzo za BEFTA unazijua ww? Hizi tuzo hata Diamond huwa anaota walau tu aje kuwa nominated ila wapi, but kingkiba himself anayo kabatini tena alibeba zamani kipindi kile mondy yupo anauza mitumba.
Mkuu umeanza kufatilia mziki baada ya Nenda kamwambie nini, kwanza sina hakika kama hata tuzo za BEFTA unazijua ww? Hizi tuzo hata Diamond huwa anaota walau tu aje kuwa nominated ila wapi, but kingkiba himself anayo kabatini tena alibeba zamani kipindi kile mondy yupo anauza mitumba.
Mkuu umeanza kufatilia mziki baada ya Nenda kamwambie nini, kwanza sina hakika kama hata tuzo za BEFTA unazijua ww? Hizi tuzo hata Diamond huwa anaota walau tu aje kuwa nominated ila wapi, but kingkiba himself anayo kabatini tena alibeba zamani kipindi kile mondy yupo anauza mitumba.
Befta ni tuzo za UK special for black people asijua nani na kuingia katika awards ni wewe msanii ndo unatuma kazi zako
Na we MTV awards umezijua after diamond kupata Nomination ukadhan ndo ya kwanza na kuanza kujiongelesha na team kiba wenzako pwilo kabebewa na davido wakati diamond alipata his first nomination has best upcoming artist MTV akiwa na mbagala kipindi icho davido analazimshwa na baba yake aende shule
Aah shukuru mungu google imekuokoa maana inaonekana hujui kabsa music industry ya bongo na dunia.
Ila nikukosoe kitu kimoja, BEFTA huwa hakuna kutuma kazi kama tuzo mandazi zingine bali huwa kuna special committee yenye wawakilishi kutoka kila cost ya ya bara la Africa (East, west, south, North) pia hivyo hvyo kwa South America pamoja na wawakilishi watano kutoka nchi 6 zenye utajiri wa viwanda (the big5).
Then wanachambua kazi wao wenyewe kupitia wale wawakilishi wa kila sehem, then ndo wanatangaza nominees na zoezi la kupiga kura linaanza pia mshindi hupatikana kwa kura nyingi za fans accordingly to diversity yake ya fans base, pia kura za majaji by 45 percentage.