Alikiba kwa Hali hii hauwezi kuwa wa kimataifa unatuletea kwaya

Kwani kwaya zina shida gani? Au kwa sababu hujasikia nipake wese, kwa mpalange, sodoma, n.k
Washazoea nyimbo zao zinazohamasisha ungese . Nilikuwa namsikiliza Kiba kwenye moja ya interview nilipenda aliposema yeye huwa anatunga wimbo/nyimbo ambayo hata make mzazi ataweza kuisikiliza.

Sasa kwa kauli hiyo ukiona wewe humuelewi kiba maana yake akatafute mwanamuziki anayemuelewa atakayeimba nyimbo zao za kishenzi.
 
Wewe unajua muziki. Good analysis.
 
Huwezi kusikiliza nyimbo kutoka usafini ukiwa na wazazi au watoto, utabadilisha tu channel kama una akili timamu.
 
Hiyo ya R Kelly itoe, ilikuwa ni project tu kama Coke studio na wakakutanishwa wanamuziki wengi wa Kiafrika na kwa Tanzania ndiyo alichaguliwa Kiba lakini unavyoielezea ni kama R Kelly na Kiba walikubalia wakaandaa wimbo wa pamoja. That shit never happened.
Hiyo collab ya Akon hebu weka link, sijawahi kuisikia au japo weka jina la wimbo niutafute mwenyewe isijekuwa unadanganya kama ulivyodanganya hiyo ya R Kelly.
 
Toka lini mondi akawa mwalim wa kiba ..afu acheni unafki wa kijinga mnataka aige anavyofanya mondi ili mje fungus uzi tena kua kiba kaishiwa anaanza kuiga..maana hata konde boy show zake za USA mnasema kamuiga mondi.yaani hamkosi kasoro
 
Toka lini mondi akawa mwalim wa kiba ..afu acheni unafki wa kijinga mnataka aige anavyofanya mondi ili mje fungus uzi tena kua kiba kaishiwa anaanza kuiga..maana hata konde boy show zake za USA mnasema kamuiga mondi.yaani hamkosi kasoro
Kule usafini amebak Mbosso na zuchu tuu pamoja na boss wao anayejifia , wengine wote ni magarasa tupu
 
Una wivu wa kike
 
Toka lini mondi akawa mwalim wa kiba ..afu acheni unafki wa kijinga mnataka aige anavyofanya mondi ili mje fungus uzi tena kua kiba kaishiwa anaanza kuiga..maana hata konde boy show zake za USA mnasema kamuiga mondi.yaani hamkosi kasoro
Namkubali kondeboy ila kwenye kupost show huwa anapost ila ukifika wakati wa show hazifanyiki
 
HATERS tunamsubil huyo alikibamia wenu nae awe tagged kwenye tuzo za kimataifa tumkwamishe kwa kumuundia petitions kuhakikisha kuwa hatoboi hata afanye nn na akiamua akavae vijola vya mombasa na aimbe taharabu, lkn hatotoboa ng'ooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...eeeeh tutaonaa si mlkuwa mnaluka luka majukwaan kipindi cha uchaguz mkasahau kuwa hii dunia n ndogo sana,,haya sasa tutakamatana padogo...jamuhur ya twitter na viunga vyake tunamsubil,,tulishamalizana na yule mmasai wa BET now kibamia is the second target..then zuchu and finaly tutaanza na rayvan
 
Namkubali kondeboy ila kwenye kupost show huwa anapost ila ukifika wakati wa show hazifanyiki
Mwaka jana show ya uwanja uhuru juni 29 kairisha, akahaidi Nov 7 kupiga show uwanja wa uhuru kwa siku tatu akahairisha, Konde in da club mikoa zaidi 15 kapiga mkoa mmoja kwengine kahairisha, show Ethiopia mwezi wa tano kahairisha, sasa anatour ya ulaya huko nchi zaido ya ishirini na nchi tano za West Africa tunamsubiria labda hizi anaweza hasi ahirishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…