Alikiba kwa Hali hii hauwezi kuwa wa kimataifa unatuletea kwaya

Alikiba kwa Hali hii hauwezi kuwa wa kimataifa unatuletea kwaya

Tatizo mmezoea kusikia kuzibua mitaro, sijui katoto kachafu nakipelekea moto na upuuzi kama huo. Hizo ndo international collabo za mtoa mada.
Kwa kukokuimba matusi kiba nam respect.
 
Wakati Kiba anaanza kuimba, wewe ulikua Sinza watoto wenzako wakikufundisha ile michezo inayokuweka mjini.
Ukweli nilikuwa nakuheshimu sana mkuu,naomba radhi kwa niaba ya dada yangu huyu ulichoandika ww naona aibu mm. Au hujui unaheshimika humu
 
Back
Top Bottom