Alikiba kwani ukijishusha kwa Diamond utakufa?..

Alikiba kwani ukijishusha kwa Diamond utakufa?..

Ajishuje akamlambe miguu au?????? Acheni kumuona huyo mwenzenu kama Mungu wenu basi... Kiba ndo kamkosea huyo Mungu wenu au.... Sema wote wajishushe wasameheane.
Wewe huwa unajishusha kwa Munngu tu?...acha kujifany kichaa wewe....
 
we nae chiz eee,ajishushe kwa lipi? huon bakora anazomchapa kiba ilhal kiba alitangulia kwenye gemu b4 mondi? Kiba piga goti la sivyo yatakukuta ya Rey kwa kanumba
Hahahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
we nae chiz eee,ajishushe kwa lipi? huon bakora anazomchapa kiba ilhal kiba alitangulia kwenye gemu b4 mondi? Kiba piga goti la sivyo yatakukuta ya Rey kwa kanumba
Ukoloni mambo leo huu
 
Ushenzi mtupu hapa. Kiba ajishushe kwa Mondi kwa kipi hasa.
Kiba alimshika mkono Mondi akaipeleka kwa sharo kurekodi.
Ipo siku utaelewa atajishusha kwa lipi,Wabongo tuna tabia hii...time shall speak the never spoken words
 
Limua ni linini!?!?
Concentrate on the content,wasting your time on typing error this proves of your obnoxious mind.
this is not a panacea ..think bing,deal with big matters!!
 
Ile research itawahusu wengi sana natamani wangongeza kila wa TZ wanne watatu ni vichaa. Maana haiwezekani mtu analeta uzi usio na kichwa wala miguu hana utafiti wa kutosha na anachokiongea ila hisia tu zinamtuma kufanya hivo anajitutumua kuandika vitu vyenye upungufu wa ujumi na itifaki.
Only the stupid mind shall speak the similar words you write just beseeching for sympathy ..
learn to handle the facts though sometimes hurts!!
 
Back
Top Bottom