Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo utakua mwendawazimu.... Kwanini kiba na sio huyo ndo ajijushe?Wewe huwa unajishusha kwa Munngu tu?...acha kujifany kichaa wewe....
Ndio maana kwenye Avator yako kichaa amekimbia na kuwaacha hao watatu walio timamu wanamshambulia kwa[emoji90]. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]katika wabongo wa4 mmoja ni kichaa. tukiwaweka kiba na meneja wake, diamond na meneja wake mmoja wao lazima kichaa ndiyo maana haka kabifu hakaishi.
Ushindani ndio unamfanya mwinyi Kibar naye avume vinginevyo habari yake itakwisha.Ili kuikuza tasnia ya muziki hawa watu ni vyema wakashirikiana bila ya vinyongo visivyo na sababu.
Anasafiria nyota ya mwenzakeUshindani ndio unamfanya mwinyi Kibar naye avume vinginevyo habari yake itakwisha.
Hii Kali
Hii Kali
Ila nimashabiki hao
Wasameheane ila sio kwasababu ni wa dini au mkoa mmoja...NO!!!Sawa lakini sio kama mtoa mada kumfanyaja kiba kuwa mkosaji. Wapatane sio eti kiba ajishushe... Wajishushe wote. Dini moja na wote wametokea mkoa mmoja kama sikosei. ........