Alikiba kweli umeisha maana watu wa Mbeya wamekukataa

Ally Kiba uwenda humu yumo kwa fake id huu ujembe keshaupata.
 
Huo [emoji867]mwandiko, mbona ni Kama vile wa mtu mmoja[emoji15]?Acha kuandika na kujijibu mwenyewe.
Nakubaliana na wewe Mond alifanya vizur kwenye hiyo show.Jamaa anajua kutawala jukwaa[emoji122][emoji122]
Daaaaaah mbona muandiko tofauti, au umesahau muandiko wako na wangu pia umefanana kwa hiyo ni mtu mmoja..?
 
Kaimbe Kama ni rahisi , unazania mziki ni mat.. o kila mtu anayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kiba live anaimba bana, setup ya live music unajua gharama zake? Kwenye open court na ni mkutano wa kampeni?

Wajuaji bana

Mfuatilie kiba, kisha mfananishe na *mediocre*
Kiba mwenyewe ni mediocre afu tumfananishe na mediocre mbona unalikoroga na kulinywa mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah, mbona mnagombana hivyo!!! Vipi, fedha za wasanii pale hazina zimekauka? Panapofuka moshi kuna moto. Mbuyu nao ulianza kama mchicha.
 
Mond ameacha kuvaa vikuku????..kuanzia 29/10 hao wasanii wote wataenda kufanya show zao Mombasa hapa TZ hawatakuwa na vibali vya kufanyia kazi
 
Kaimbe Kama ni rahisi , unazania mziki ni mat.. o kila mtu anayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wengine hata kuwajibu basi tu, kwani nilikwambia mimi mwanamziki au najuwa kuimba? ukiwa mchazaji mpira basi ujuwe kucheza sio kuwaambia washabiki njooni nyinyi mcheze kama rahisi. ukitaka watu waje wakuone unaimba basi ujuwe kuimba na hayo matusi unatosema sijui unadhani Mat.. kila mtu anayo hapana sio kila mtu anayo yanazidiana uzuri pia na shape......
 
mleta mada inawezekana kuwa hata hela ya kula unagongea kwa wafagizi wa ofisi ya diamond. Wewe andika uwezavyo kumdiss ally kiba lakini mwenzako tayari ni celebrity hivyo usitegemee post zako zitamshusha.
 
Kigoma Independent Huyo Ni mshabiki wa CHADEMA so anachukia wasanii kufanya kampeni za CCM

Mie sio mpenzi wa chama chochote lakini namchukia sana kwa sababu anashiriki kuwadanganya waTz katika uchaguzi huu na namwombea baada ya uchaguzi huuu kupita anyong'onyee kama ua lililoota Jangwani au hata afikie hatua ya omba omba kama alivyokuwa mzee Matonya
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwahiyo kwasababu hatoi support kwa Lissu,ndo sababu ya wewe kumuombea mabaya?
Haya, hizo dua zako unazielekeza kwa MUNGU au Shetani?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwahiyo kwasababu hatoi support kwa Lissu,ndo sababu ya wewe kumuombea mabaya?
Haya, hizo dua zako unazielekeza kwa MUNGU au Shetani?

Mkuu dua za namna hii huelekezwa upande wa shetani kwani ukikosea na kuzipeleka kwa Mungu utashangaa mtu anazidi kupaa kama vile Bashte alivyomwombea mabaya Piere na kupeleka faili kwa Mungu matokeo yake Piere sasa anakula bata kuliko yeye....mimi sifanyi makosa hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…