Alikiba kweli umeisha maana watu wa Mbeya wamekukataa

Alikiba kweli umeisha maana watu wa Mbeya wamekukataa

Jamani habarini Wana jamvi

Kiukweli sina uteam wowote ila ni mzee wa fact, kutokana na Jana kwenye uzinduzi wa kampeni mkoani Mbeya hii imejidhihirisha wazi kuwa Alikiba amezeeka na amepitwa na wakati.

Jana ndo nimeamini kuwa na makeke yake yote ya kujigamba kuwa anaenda kupeform ule utopolo wake wa Mediocre kwa mara ya kwanza mbeya akazania na mbeya ni mamediocre Kama yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787],jamaa hajapata hata nyomi na kumiliki jukwaa hawezi kabisa na Mwisho wa siku hakawa anatufokea wanambeya huku tunamchora tuu.

Poleni sana mashabiki wa alikiba ila ndo Basi tena,kila Zama na mda wake maana Diamond the G.O.A.T yeye alikuwa anazindua Wasafifm mbeya ,huku mwingine akizindua limediocre lake na Wana mbeya kweli Waka mamediocre.

N.B: RAYVANNY NDO ALIKUWA MAN OF THE MATCH.
kwa mwaka tungo 2 lazime ashushe tu
 
Wasanii wa Tanzania ni bulshit wote isipokuwa Roma mkatoliki
Ukweli hakuna wote mpaka siku nione mtu anapiga Live music na sauti safi nitampa heshima ila hii ya CD hapana maana hata mimi kama napesa naweza kuimba studio sauti mbaya inatengenezwa tu halafu unaimba nyimbo ya dakika 3 hata wiki unarudia vipande mpaka ikae sawa itoke na hata ikitoka kama bado vile.
 
Ukweli hakuna wote mpaka siku nione mtu anapiga Live music na sauti safi nitampa heshima ila hii ya CD hapana maana hata mimi kama napesa naweza kuimba studio sauti mbaya inatengenezwa tu halafu unaimba nyimbo ya dakika 3 hata wiki unarudia vipande mpaka ikae sawa itoke na hata ikitoka kama bado vile.
Mwenzako kumtaja Roma kwenye aspect yake ya itikadi ya kisiasa kwamba hashiriki kwenye kampeni za CCM Kama wasanii wengine.Wewe umeongea tofauti kabisa na alichozungumza yeye inaonesha ukumuelewa
 
Ukweli hakuna wote mpaka siku nione mtu anapiga Live music na sauti safi nitampa heshima ila hii ya CD hapana maana hata mimi kama napesa naweza kuimba studio sauti mbaya inatengenezwa tu halafu unaimba nyimbo ya dakika 3 hata wiki unarudia vipande mpaka ikae sawa itoke na hata ikitoka kama bado vile.

Kiba live anaimba bana, setup ya live music unajua gharama zake? Kwenye open court na ni mkutano wa kampeni?

Wajuaji bana

Mfuatilie kiba, kisha mfananishe na *mediocre*
 
Jamani habarini Wana jamvi

Kiukweli sina uteam wowote ila ni mzee wa fact, kutokana na Jana kwenye uzinduzi wa kampeni mkoani Mbeya hii imejidhihirisha wazi kuwa Alikiba amezeeka na amepitwa na wakati.

Jana ndo nimeamini kuwa na makeke yake yote ya kujigamba kuwa anaenda kupeform ule utopolo wake wa Mediocre kwa mara ya kwanza mbeya akazania na mbeya ni mamediocre Kama yeye[emoji1787][emoji1787][emoji1787],jamaa hajapata hata nyomi na kumiliki jukwaa hawezi kabisa na Mwisho wa siku hakawa anatufokea wanambeya huku tunamchora tuu.

Poleni sana mashabiki wa alikiba ila ndo Basi tena,kila Zama na mda wake maana Diamond the G.O.A.T yeye alikuwa anazindua Wasafifm mbeya ,huku mwingine akizindua limediocre lake na Wana mbeya kweli Waka mamediocre.

N.B: RAYVANNY NDO ALIKUWA MAN OF THE MATCH.
Hata kuongea kwako tu inainyesha wewe ni timu Dai
 
Mwenzako kumtaja Roma kwenye aspect yake ya itikadi ya kisiasa kwamba hashiriki kwenye kampeni za CCM Kama wasanii wengine.Wewe umeongea tofauti kabisa na alichozungumza yeye inaonesha ukumuelewa
Nimemuelewa yeye kasema perfomance haikuwa kali watu hawakuitika hapo ina maana tumeongelea usanii ila kama alikuwa na maana ya siasa basi sio sawa maana Roma anaweza kuwa mzuri kwa chadema lakini sio kwa CCM na kule hivyo hivyo. Japo kuwa uhalisia sio jambo zuri wasanii kufanya kampeni sasa sielewi ni mapenzi kweli au ndio kuogopa matokeo wakikataa.
 
Back
Top Bottom