Alikiba kweli umeisha maana watu wa Mbeya wamekukataa

Alikiba kweli umeisha maana watu wa Mbeya wamekukataa

Mie sio mpenzi wa chama chochote lakini namchukia sana kwa sababu anashiriki kuwadanganya waTz katika uchaguzi huu na namwombea baada ya uchaguzi huuu kupita anyong'onyee kama ua lililoota Jangwani au hata afikie hatua ya omba omba kama alivyokuwa mzee Matonya
Kama sio mpenzi wa chama chochote kitu gani kinakufanya ukasilike kwa Wasanii kuwafanyia kampeni CCM?
 
Mkuu dua za namna hii huelekezwa upande wa shetani kwani ukikosea na kuzipeleka kwa Mungu utashangaa mtu anazidi kupaa kama vile Bashte alivyomwombea mabaya Piere na kupeleka faili kwa Mungu matokeo yake Piere sasa anakula bata kuliko yeye....mimi sifanyi makosa hayo.
Ohooo.., Basi jitahidi uwe vizuri haswa,maana mpaka kufikia hapo nadhani atakuwa amekumbana na watu wengi wa aina yako.
 
Back
Top Bottom