Alikiba mambo hadharani, hakuna siri tena!!

Alikiba mambo hadharani, hakuna siri tena!!

d9878cdf14dd9b67576630acbaf9bacb.jpg
 
Hivi kwa nini mnapenda kudanganya ulimwengu?
Kama hajasema kitu iweje mleta mada utuaminishe huo usafir ni wake?
Yeye mwenyew alisema hapendi kujionyesha nyie mnamuonyesha, aliwahi kutembelea nyumba moja nzuri akapga na picha washabiki wake wenye akili finyu mlituaminisha yake kisa anaonekana kwenye hiyo nyumba mara kwa mara, sasa mnatuletea picha ya ndege mnataka kutuaminisha yake, lakini mwenyewe hapendu kujionyesha nahisi imejipost tu hiyo picha.
 
Ni ushabiki tu mkuu,namkubali hivyo najitoa kwa ajili yake.

Yupo nimpendaye zaidi yake,tena huyo ndiye hatari kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Thanks
Mmmmmm!!kama ni mahaba hayo ni mahaba nini?..
 
Back
Top Bottom