Alikiba mwambie Diamond apatane kwanza na Baba yake ndio arudi kwako, Diamond ni mswahili na Mnafiki usimuamini

Alikiba mwambie Diamond apatane kwanza na Baba yake ndio arudi kwako, Diamond ni mswahili na Mnafiki usimuamini

Ki-msingi hakuna ugomvi kati ya diamond na baba yake. Kilichopo ni uelewa mdogo wa diamond. Diamond aliwekewa UKUTA na mama yake kwa kuelezwa(kupitia dhiki walizopitia) na kuaminishwa kuwa,zile shida zote,za kukosa Ada,viatu,uniform,chakula nk. Zilisababishwa na baba yake. Maneno hayo ukimueleza mtoto mdogo,ktk kipindi cha shida,hayamtoki!!

Kwa hiyo hata baada ya kukua,diamond aliendelea kuamini kile alichoelezwa na mama yake na amekishika hadi leo akiamini maisha yote mabaya aliyopitia yalitokana na kutengana kwa wazazi wake na baba kuondoka!!

Hili ni kosa la mama diamond kuweka ukuta(chuki) kati ya mtoto na baba. Lkn hakumueleza sababu za kutengana kwao. Diamond naye anafanya ujinga uleule kwa kumuadhibu baba yake,huku mafanikio yake wala hayatokani na mama yake. Mama yake hakuwa mwanamuziki kusema alilirithi,wala hayatokani na elimu aliyomsomesha. Shule hakumpeleka na hata darasani hakuwa na akili kutokana na lishe duni. Na hili la kukosa akili ndo linaendelea mpaka leo. Maana hata kukosa uwezo wa kutafsiri Jambo ni ukosefu wa akili. Kifupi mama yake na diamond ndo aliyemharibu diamond na yote anayofanya Domo kwa sasa ni matokeo tu..!!
ha ha ha
 
nakubaliana naweye. Ikiwa Masogonge alitimuliwa kwo na baba yake akiwa umri mdogo kidato cha pili, na baadae wakawa peace tu na kuwasaidia wazee wake. Je kua dume zima bado lina bifu na baba.

Nimempa respect kubwa marehemu baada yakujua habari ya historia yake.
sasa hivyo respect yako kwa agness inasaidia nn wakati ameshakufa ?
 
Nipo chini ya tuliagana vipi njiwaa Jana Mimi na wewe tulipokutananaaa.....
 
Post hii na ile ya Ommy dimpoz... tumeshakuelewa na tumekusamehe tayari...
 
sasa hivyo respect yako kwa agness inasaidia nn wakati ameshakufa ?

haisaidii kitu. Lakini muenekanwo wako kwangu umebadilika sana ukilinganisha na nilivokua namchukulia mwanzo.
vovote itakavokua kuwasaidia wazee wako ni jambo muhimu.
 
haisaidii kitu. Lakini muenekanwo wako kwangu umebadilika sana ukilinganisha na nilivokua namchukulia mwanzo.
vovote itakavokua kuwasaidia wazee wako ni jambo muhimu.
mzazi kwanza anatakiwa msaidie mtoto kufikia malengo yake na sio kumtelekeza , kama alivyofanya baba yake diamond , sasa cha ajabu unamuona diamond mkosaji badala ya baba yake ?
 
Najaribu kufikiri jinsi mDanganyika anavyoweza kuufahamu undani wa mtu mwingine kuliko muhusika mwenyewe.....

Ungesema Wema, Mobeto na wafananao....wanamuhitaji Domo zaidi kuliko yeye anavyowahitaji, ningeelewa.....!
Huwezi kuelewa kwa sababu hutaki kuelewa
 
Hivi kuna shabiki wa Kiba anayeweza kunijibu ni nini hasa so special alichonacho Kiba hadi Diamond awe na shida nacho?!

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa; statistic pekee inayomweka juu Kiba over Diamond ni kuwa na mke pamoja na watoto 3 (inasemekana 4) kwa mama 3 tofauti!

Mbali na hiyo stats; kingine kipi?!
Watakwambia Mofaya
 
Watakwambia Mofaya
Kwavile hawafahamu kwamba mtu anaweza kumilikishwa hata 5% ya shares or less na hapo anakuwa shareholder!!

Kwanza kwa mtu kama Kiba kachelewa sana!

Kv hakuwa na bahati ya kupata endorsement kwenye makampuni makubwa kama ilivyo mwenzake; tangu zamani angeweza kabisa kupata shareholding kwenye makampuni/biashara zenye market share ndogo au zisizo na soko pande za East Africa ili hatimae atumie influence yake kukuza au kuibua soko jipya kwa bidhaa husika!
 
Siku kiba akipatana na mondi ndo utakua mwisho wake rasmi,sa hivi wacha haters wa mondi waendelee kukimbilia huko kujifariji na kiba awapige hela kwanza
hii dhana mnaitoa wapii..hiiiiii(JPM voice)jamaa yenu kanunua beat ya Kubanda ili amdiss King...mwambieni domo apambane na hali yake... kula Karanga shushia mofaya bariidii...acha wapige hela watembelee Lamborghini 0 km sio vyuma chakavu wanavyotumia sasa
 
Ki-msingi hakuna ugomvi kati ya diamond na baba yake. Kilichopo ni uelewa mdogo wa diamond. Diamond aliwekewa UKUTA na mama yake kwa kuelezwa(kupitia dhiki walizopitia) na kuaminishwa kuwa,zile shida zote,za kukosa Ada,viatu,uniform,chakula nk. Zilisababishwa na baba yake. Maneno hayo ukimueleza mtoto mdogo,ktk kipindi cha shida,hayamtoki!!

Kwa hiyo hata baada ya kukua,diamond aliendelea kuamini kile alichoelezwa na mama yake na amekishika hadi leo akiamini maisha yote mabaya aliyopitia yalitokana na kutengana kwa wazazi wake na baba kuondoka!!

Hili ni kosa la mama diamond kuweka ukuta(chuki) kati ya mtoto na baba. Lkn hakumueleza sababu za kutengana kwao. Diamond naye anafanya ujinga uleule kwa kumuadhibu baba yake,huku mafanikio yake wala hayatokani na mama yake. Mama yake hakuwa mwanamuziki kusema alilirithi,wala hayatokani na elimu aliyomsomesha. Shule hakumpeleka na hata darasani hakuwa na akili kutokana na lishe duni. Na hili la kukosa akili ndo linaendelea mpaka leo. Maana hata kukosa uwezo wa kutafsiri Jambo ni ukosefu wa akili. Kifupi mama yake na diamond ndo aliyemharibu diamond na yote anayofanya Domo kwa sasa ni matokeo tu..!!
Ndo excuse za kutomlea mtoto, mi hata rafiki tu nikiwa natoboa ukawa unaniletea bifu utaisoma
 
Back
Top Bottom