Hao ni kama "Messi10 na CR7. Sasa nani ni Messi10 na CR7 kati yao ni juu ya mashabiki wenyewe.Kila kitu anamuiga Diamond, jamaa ubunifu zero. Diamond kamboost sana la sivyo saa hizi angeshaacha muziki wenyewe.
Nimeitazama clip ya show yake ya jana Wakati anaimba KADOGO aisee mpaka nikatokwa na goosebumps ...
Kana ladha gani hako mkuu?View attachment 981209
Yebaba..
HADI KUIMBA LIVE KAMUIGA DOMO HAHAHAHAHAHAAAAA... NA KUVAA KIKUKU acheni kumlinganisha kiba na vitu Vya kipuuzi shenzi.Kila kitu anamuiga Diamond, jamaa ubunifu zero. Diamond kamboost sana la sivyo saa hizi angeshaacha muziki wenyewe.
Nenda u tube acha kujilegezaNi ufamba kuleta Uzi ka huu bila picha au hata ka video..