Me watu kama hao huwa sihangaiki kuwafollow sometimes jamii inatakiwa kujitambua MTU gan huyo sasa asie weza follow had mke wake huyu ni kutupa kule ,alaf nilikuwaga namkubali ila nimejaribu sana kumsoma huyu jamaa ni kwel anajisikia sana yaan bora nishabikie wasanii wa nje
Umekula?..unabuhakika wa kodi?..unaemzungumzia ana Mansion Tabatakatika ukurasa wake wa instagram hajamfollow mtu yeyote akimaanisha kuwa hana cha kujifunza wala kuangalia kwa wenzake na mdogo wake nae abdukiba ndio hivyo hivyo, jamaa ana roho mbaya sana ndio maana haendelei
View attachment 1152511
View attachment 1152512
Hahahaaa na ww ukapoteza muda kukoment kwenye uzi wa msanii asiyejitambua....ALI KIBA ATAWAUA...Alikiba kama unanisikia plllllz samehe hawa MBUZI KATOLIKI.We jamaa kwel akili huna unapoteza muda wako eti mfungulia Uzi alikiba so bora ukamfungulia Uzi Mario kuliko huyo msanii asie jitambua
Umenistua sana mkuu. Mtu asiyetaka kujifunza kwa wezake hafai. Nimetekelezakatika ukurasa wake wa instagram hajamfollow mtu yeyote akimaanisha kuwa hana cha kujifunza wala kuangalia kwa wenzake na mdogo wake nae abdukiba ndio hivyo hivyo, jamaa ana roho mbaya sana ndio maana haendelei
View attachment 1152511
View attachment 1152512
Hao mtu na mdogo wake hawana akili na hivi karibuni wataanzisha kikundi cha kigaidikatika ukurasa wake wa instagram hajamfollow mtu yeyote akimaanisha kuwa hana cha kujifunza wala kuangalia kwa wenzake na mdogo wake nae abdukiba ndio hivyo hivyo, jamaa ana roho mbaya sana ndio maana haendelei
View attachment 1152511
View attachment 1152512
Katika orodha wa wajinga ni alikiba na genge lakeWe jamaa kwel akili huna unapoteza muda wako eti mfungulia Uzi alikiba so bora ukamfungulia Uzi Mario kuliko huyo msanii asie jitambua
Umenistua sana mkuu. Mtu asiyetaka kujifunza kwa wezake hafai. NimetekelezaView attachment 1153253
Hajitambui na anaendesha familia yake, na HUENDA anakuzidi mafanikio.Kila MTU ana taratibu zake.We jamaa kwel akili huna unapoteza muda wako eti mfungulia Uzi alikiba so bora ukamfungulia Uzi Mario kuliko huyo msanii asie jitambua
katika ukurasa wake wa instagram hajamfollow mtu yeyote akimaanisha kuwa hana cha kujifunza wala kuangalia kwa wenzake na mdogo wake nae abdukiba ndio hivyo hivyo, jamaa ana roho mbaya sana ndio maana haendelei
View attachment 1152511
View attachment 1152512