mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Wivu utakuuwa
Me watu kama hao huwa sihangaiki kuwafollow sometimes jamii inatakiwa kujitambua MTU gan huyo sasa asie weza follow had mke wake huyu ni kutupa kule ,alaf nilikuwaga namkubali ila nimejaribu sana kumsoma huyu jamaa ni kwel anajisikia sana yaan bora nishabikie wasanii wa nje