Alikiba ni mbinafsi sana

Alikiba ni mbinafsi sana

Wivu utakuuwa
Me watu kama hao huwa sihangaiki kuwafollow sometimes jamii inatakiwa kujitambua MTU gan huyo sasa asie weza follow had mke wake huyu ni kutupa kule ,alaf nilikuwaga namkubali ila nimejaribu sana kumsoma huyu jamaa ni kwel anajisikia sana yaan bora nishabikie wasanii wa nje
 
Ww umemzidi maendeleo uliowafollow mange na diamond?

Kila mtu na maisha yake. Unaweza kuwa mchawi bila ya mwenyewe kujua
 
Achana na maisha ya mitandaoni...

Maisha halisi yapo uswazi huku
 
katika ukurasa wake wa instagram hajamfollow mtu yeyote akimaanisha kuwa hana cha kujifunza wala kuangalia kwa wenzake na mdogo wake nae abdukiba ndio hivyo hivyo, jamaa ana roho mbaya sana ndio maana haendelei
View attachment 1152511
View attachment 1152512
Umenistua sana mkuu. Mtu asiyetaka kujifunza kwa wezake hafai. Nimetekeleza
Screenshot_20190714-110707_1563091710633.jpeg
 
Mwenzio anajiona king ujui Kama jina lake linaanza na king eti na abdu nae anakua king mdgo,yaani anabebwa tu ajui kuimba sauti analazimisha sijui km ajambagi,kiba ana shughuli Zama zake zimeisha asisimui Tena Kwanza kachelewa anafanya vitu vya zamani kuvaa ajui video zake za kwa mtogole mnafiki a.k.a.mzee wa busara kwa kifupi mziki umewashinda
 
katika ukurasa wake wa instagram hajamfollow mtu yeyote akimaanisha kuwa hana cha kujifunza wala kuangalia kwa wenzake na mdogo wake nae abdukiba ndio hivyo hivyo, jamaa ana roho mbaya sana ndio maana haendelei
View attachment 1152511
View attachment 1152512

Hakuna ulazima wowote kuwa Wewe Watu wakikupenda basi na Wewe ni lazima uwapende. Binadamu Kiuumbwaji tumetofautiana mambo mengi. Na pia haimaanishi kuwa kama hapo Mtandaoni Wao hawana Marafiki basi na hata huku Uraiani ( nje ya Mitandao ) hawana Marafiki na katika Watu hasa hawa Maarufu nchini Tanzania ambao najua huwa wanajichanganya mno na Watu Mitaani basi huyu Ali Kiba nae yumo.
 
Back
Top Bottom