Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayo ni maoni yako yaheshimiweAli kiba aache kukalili kuimba bakurutu
Haya enda kaolewe sasaYani Alikiba kwenye huo wimbo bora asingelikuwepo maana ameuharibu sana kwakweli yani kipande cha Aslay ni raha kukisikiliza lakini Alikiba sijui kapatwa na nini sijui alipania sana?
Hakika Bora angeliimba Kingwendu kwenye hiyo nafasi!
Yani Alikiba kwenye huo wimbo bora asingelikuwepo maana ameuharibu sana kwakweli yani kipande cha Aslay ni raha kukisikiliza lakini Alikiba sijui kapatwa na nini sijui alipania sana?
Hakika Bora angeliimba Kingwendu kwenye hiyo nafasi!
Ngoma ni mbaya haina mvuto haina hata Melody nzuri ya kumvutia msikilizaji.Kuna ngoma imetoka huko ni ya aslay na kiba
Lakin kusema ukweli aslay kaimba vizur ila huyu ali kiba kazingua sana
Super star mkubwa kaimba kama under ground
Bora tu hata angesimama mayunga au mario
🙄🙄🙄🙄🙄 sijui huwa ni mawazo yangu. aisee mkuu naweza kula ban. tuishue hapo
Linasomeka kama lamaya
King wa mafi ama king wa nini mkuu?ACHA UJINGA DOGO.
Wimbo ni mzuri, kila msanii kaplay part yake ipasavyo.
Aslay na King Kiba wamefanya kila mtu sehemu yake inavyotakiwa.
kaimbe wewe Malaya BKuna ngoma imetoka huko ni ya aslay na kiba
Lakin kusema ukweli aslay kaimba vizur ila huyu ali kiba kazingua sana
Super star mkubwa kaimba kama under ground
Bora tu hata angesimama mayunga au mario
mayala B.
hili jina kila siku nalisoma vice versa. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
mke wake AMinaHivi Ali Kiba alipewa na nani hadhi ya ufalme ?
😂😂😂😂😂😂 yaan inakuja automatic.
Hata mimi mkuu
Wimbo wa kiboya, Kiba asingeongeza chochote, tena kiba ndo kaimba vizur ,Melody ya kupanda na kushuka ili kuleta ladha, tofaut na aslay almost kama kapiga flat, .....nyimbo sio ya amsha na hvyo haitafika mbaliKuna ngoma imetoka huko ni ya aslay na kiba
Lakin kusema ukweli aslay kaimba vizur ila huyu ali kiba kazingua sana
Super star mkubwa kaimba kama under ground
Bora tu hata angesimama mayunga au mario
Duh malaya b tenakaimbe wewe Malaya B
Linasomeka kama lamaya
Yani Alikiba kwenye huo wimbo bora asingelikuwepo maana ameuharibu sana kwakweli yani kipande cha Aslay ni raha kukisikiliza lakini Alikiba sijui kapatwa na nini sijui alipania sana?
Hakika Bora angeliimba Kingwendu kwenye hiyo nafasi!