Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkigoma na hiyo dini yake anayodhani wako sahihi kwa kila jambo ndiyo kinamfanya aropokwe hovyo.Ali Kiba ana element za kiubaguzi wa kidini siku nyingi. Wewe umemjua leo?
Dini ni kitu sensitive sana, ndio maana, kama Dini ni kitu cha kawaida ebu pitisha Nguruwe msikitini alafu wakikuuliza wajibu hivyo kuwa Wanapenda ku complicate mambo ndio utajua hujui... Mimi siko hapa kuwaambia watu kususia nyimbo bali tumechukizwa na kauli yake hiyo ya kuonyesha kuwa Wakristo ni watu wa ajabuIla mwamba una complicate sana mambo asee. Acha kupeleka Kila kitu kwenye negative mkuu.
Maisha sio magumu kihivi mkuu
By the way unahisi kwa bandiko lako hili unaweza convince watu kususia nyimbo za Ali just like that? Huwajui wabongo wewe
Wewe umeshawahi kurekodi misiba mingapi toka umejua kumbe misiba nayo inatakiwa kurekodiwa?Ni kweli wakristo tunapenda kirekodi misiba wala hajakosea kiufupi tunazingua
Siku za hivi karibuni kumetokea Msiba wa msanii wa kike wa Bongofleva Haitham. Na mazishi hayo yamefanyika jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri na wasanii mbalimbali na mmoja wao akiwa msanii Ali Kiba.
Wakati wa mazishi kuna kitendo ambacho kimetokea ambacho kimepeleka Ali Kiba kutoa kauli ambayo sio nzuri au inayoonekana kudharirisha Dini ya Wakristo. Mimi binafsi kama Chief Lumanyika nimechukia sana na kupelekea kwenda kwenye Account yake ya instagram na kumu-unfollow hili nisiwe naona post zake.
View: https://youtu.be/C3rMRxBCXRU?si=giuRLLh1MAzofSfh
Kitendo hicho cha kukashifu Dini ya Wakristo kimetokea ambapo kwenye Video watu wanaonekana wapo kwenye mazishi na hatua za kuzika mwili wa marehemu ambapo Ali Kiba aliona kama anarekodiwa na watu, ambapo akaonekana kustaajabishwa na kutoa kauli ya "Nyie ni wakristo?", Akiwauliza vijana ambao ndio walikuwa wakimrekodi Ali Kiba hapo msibani.
Kutumia neno "Nyie ni wakristo", ni Disrespect na ni kitendo cha kumaanisha kuwa Dini ya wakristo ndio ya wafanya uovu, au ya watu wasiofaa, au ya watu wa ovyo. Kwamba Wakristo sio watu wa kuheshimu Mazishi. Cha kushangaza Tanzania ni nchi yenye Dini nyingi wakiwemo wapagani, lakini kitendo cha yeye kusema moja kwa moja kuwa nyie ni wakristo bila ya kujua hao watu anaowauliza ni Dini gani ni kutokuheshimu Dini ya kikristo. Kwa sababu Tukio hilo lingeweza kufanywa na mtu yeyote hata ambaye ni Muislamu ambaye ni wa Dini yake, budha au mpagani.
Kauli hii ya Ali Kiba pia imezua hoja mitandaoni kupelekea watu kuchukizwa na Kauli hii, na moja ya account ambayo nimeona watu wamechukua ni kwenye Instagram page ya Bongotrending Habari.
Hakuna sehemu yoyote kwenye Dini ya wakristo wanaposema tuwarekodi watu kwenye mazishi au wakiwa msibani. Hivyo hata ikitokea mkristo anarekodi mazishi, basi hiyo ni hulka yake binafsi na haina uhusiano wowote na Dini ya kikristo.
Ali Kiba anapaswa kuomba Radhi au Wakristo tuanze kuzisusia nyimbo zake kama jinsi wasanii wa Marekani na nchi nyingine wanavyofanyiwa wakizingua. Mimi staki kumuona tena, nimefuta hata nyimbo zake.
Hakuna mkristo ambaye anayerekodi msibani... ukristo hausemi turekodi msibani, mkristo yoyote anayerekodi msibani hiyo ni hulka yake binafsi... Hata hivyo Dini zingine pia wanarekodi msibani... Hata YouTube zipo video nyingi tu za misiba ya waislamu wanarekodi, na hao utasema ni wakristo...Ni kweli wakristo tunapenda kirekodi misiba wala hajakosea kiufupi tunazingua
Kama nyie wagalatia mnavyowachukia waislamAli Kiba ana element za kiubaguzi wa kidini siku nyingi. Wewe umemjua leo?
Kumu-unfollow imenisadia mimi binafsi, kwa sababu maamuzi ni yangu ya kipi nione na kipi nisikione... Siwezi kutizama mambo ya mtu anayekashfu Dini yanguMtoto wa kiume acha kuweka vinyongo sijui ume-mfollow sasa inasaidia nn?
Kama umechukua acha kusambaza chuki pia utajua maana zaidi kama alikuwa na nia mbaya au laah?
Mbona mfano haupo kwani huyo jamaa alikuja kanisani kwenu kusema hivyo?Dini ni kitu sensitive sana, ndio maana, kama Dini ni kitu cha kawaida ebu pitisha Nguruwe msikitini alafu wakikuuliza wajibu hivyo kuwa Wanapenda ku complicate mambo ndio utajua hujui... Mimi siko hapa kuwaambia watu kususia nyimbo bali tumechukizwa na kauli yake hiyo ya kuonyesha kuwa Wakristo ni watu wa ajabu
Wivu tu unakusumbua.Hukionagi kama kichokoraa fulani kinajishaua hakina hata lolote anadharau na huku anamtegemea Mo yaani tz hakuna wakunitisha wote ni maskini tu sema wapo kidaraja huyo sio superstar huyo ni mwehu na mchukiaga sana . Kina sura kama kenge mbuzi hata ukiamua kumpika haivi haliki kwa kachumbari au nini .
Mke wake kasepa kanatunzwa ni kamario kazee
Sasa maamuzi yako ni mazuri ila ujinga ni kutaka watu nao wamchukie..Kumu-unfollow imenisadia mimi binafsi, kwa sababu maamuzi ni yangu ya kipi nione na kipi nisikione... Siwezi kutizama mambo ya mtu anayekashfu Dini yangu
Wewe si ndio bikra mwenyewe? Au bikra yako ulisha ipoteza?Kitu kidogo mtu anawaza afe halafu akapewe mabikira 72 ahera ww unamuona ana akiri sawa achana nao inssue ndogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatlia alikuwa ana maanisha nn kwanza ,tambua Ally kiba sio mtu dini kama unavyofikria.Huo ni mfano kukuonesha kuwa Dini ni sensitive... uwezi kuchukulia Dini za watu kama maandazi tu na kuanza kudharau
Hizo ni falsafa zako... Kuleta habari humu ni kuonyesha kwa namna gani msanii kubwa ambae unawafuasi wengi wa Dini tofauti tofauti hutakiwi kutoa kauli za kudharau dini za wengine.Sasa maamuzi yako ni mazuri ila ujinga ni kutaka watu nao wamchukie..
.Wewe ni muumini wa dini wala sio mmiliki wa dini pia jaribu kufuatilia ufafanuzi kwa nn kasema hivyo.