Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Awe vuguvugu awe joto, ila ndo huyo anauwakilisha ukristo.. maana anaimbia kanisani na kwenye mikutano na mahubiri ya kikristo.

Kwenye uislam mtu hawezi kufanya hivo akaachwa
ukristo huujui, ungeujua usingeshangaa ukristo wa akina rose muhando
 
Duh! Yuniki umetokwa na povu jingi sana
Hukionagi kama kichokoraa fulani kinajishaua hakina hata lolote anadharau na huku anamtegemea Mo yaani tz hakuna wakunitisha wote ni maskini tu sema wapo kidaraja huyo sio superstar huyo ni mwehu na mchukiaga sana . Kina sura kama kenge mbuzi hata ukiamua kumpika haivi haliki kwa kachumbari au nini .

Mke wake kasepa kanatunzwa ni kamario kazee
 
Back
Top Bottom