Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Hiyo ni tafsiri yako wala neno Kafiri halimaanishi kama ulivyotafsiri wewe,
Kila kiumbe kina haki yake na riziki yake ndio maana Mungu huwapa riziki hata wale wasiomtii,

Nilijua tu usingeweka hapa bandiko nililokuambia coz hilo bandiko halipo.

Mzee maandiko yapo mengi, sijaamua kuyaweka ilinkuepusha mada nyingine ndani ya mada nyingine...Wakristo wanaosoma Biblia wanajua

Hakuna haja ya kuendelea kuandika zaidi, tuishie hapa...
 
Mzee maandiko yapo mengi, sijaamua kuyaweka ilinkuepusha mada nyingine ndani ya mada nyingine...Wakristo wanaosoma Biblia wanajua

Hakuna haja ya kuendelea kuandika zaidi, tuishie hapa...
Maandiko hayo kama kweli yapo yaweke hapa kwa faida ya wote

Yanayoonesha "wenye haki" na "wasio wasio haki" kutoka kwenye vitabu

Kama hutaweka hapa basi hii nayo ni porojo kama porojo zingine umejitungia tu.....
 
Maandiko hayo kama kweli yapo yaweke hapa kwa faida ya wote

Yanayoonesha "wenye haki" na "wasio wasio haki" kutoka kwenye vitabu

Kama hutaweka hapa basi hii nayo mi porojo kama porojo zingine umejitungia tu.....

Kuna watu mnapenda kubishana tu...

Zaburi 1
4 Sivyo walivyo wasio haki; Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.

5 Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki.

6 Kwa kuwa Bwana anaijua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasio haki itapotea.


Zaburi 119
155 Wokovu u mbali na wasio haki, Kwa maana hawajifunzi amri zako.

2 Wathesalonike 3
2 tukaokolewe na watu wasio haki, wabaya; maana si wote walio na imani.

2 Petro 2
9 basi, Bwana ajua kuwaokoa watauwa na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hata siku ya hukumu;
 
Kila dini ina taratibu zake ,Ali Kiba yupo sahihi kuuliza....Misiba ya kiislam hauwezi kukuta wanaaga au wanarecord mashooting sasa ndicho kilichomshangza mpaka kuuliza hilo swali.
 
Kila dini ina taratibu zake ,Ali Kiba yupo sahihi kuuliza....Misiba ya kiislam hauwezi kukuta wanaaga au wanarecord mashooting sasa ndicho kilichomshangza mpaka kuuliza hilo swali.
Kwahiyo picha na video za kuzika za Waislamu zilizopo mitandaoni zimepigwa au rekodi na Wakristo? Wewe na alikubali wote ni wapumbavu. Hakuna sehemu wakristo wameambiwa au kumeandikwa kurekodi kama utaratibu rasmi wa Kanisa na hilo jambo sio utaratibu wa kanisa huo ila ni watu binafsi na utandawazi na hilo hufanywa na kila mtu regardless na dini. Maamuma mkubwa wewe.
 

Attachments

  • images.jpeg.jpg
    images.jpeg.jpg
    33.5 KB · Views: 1
  • images.jpeg-1.jpg
    images.jpeg-1.jpg
    37.2 KB · Views: 1
Kwahiyo picha na video za kuzika za Waislamu zilizopo mitandaoni zimepigwa au rekodi na Wakristo? Wewe na alikubali wote ni wapumbavu. Hakuna sehemu wakristo wameambiwa au kumeandikwa kurekodi kama utaratibu rasmi wa Kanisa na hilo jambo sio utaratibu wa kanisa huo ila ni watu binafsi na utandawazi na hilo hufanywa na kila mtu regardless na dini. Maamuma mkubwa wewe.

Weka ushahidi kwamba aliyerekodi ni Muislam hapo? Kweli wewe ni empty head unaendeshwa na mizuka bila kufikiri,ujinga tu umekujaa mwingi ,sasa ali kiba akiuliza unapiga picha wewe mkristo ndiyo kuna tatizo? Kuna mambo mengi ya kujadili na si huu upuuzi kisa tu "USHABIKI MAANDAZI".
 
Nimecheka sana hapo SALIM KIKEKE kufuga ndevu
HII AWAMU YA SITA WAKRISTO MNALALAMIKA SANA
Faiza akikomenti MNALALAMIKA
Mohamed said akileta Uzi MNALALAMIKA
Alikiba akisema tu MNALALAMIKA
Salim Kikeke kafuga ndevu MNALALAMIKA
Mama ameteua mawaziri juzi WAKRISTO wapo wengi MNALALAMIKA
Bandari apewe muwekezaji MNALALAMIKA..

Nyie hamna subira na uvumilivu ...
 
Weka ushahidi kwamba aliyerekodi ni Muislam hapo? Kweli wewe ni empty head unaendeshwa na mizuka bila kufikiri,ujinga tu umekujaa mwingi ,sasa ali kiba akiuliza unapiga picha wewe mkristo ndiyo kuna tatizo? Kuna mambo mengi ya kujadili na si huu upuuzi kisa tu "USHABIKI MAANDAZI".
Binafsi nimeoa muislam na Dada yangu ameolewa na muislam ila toka suala la Dp world lianze na namna mnavyolazimisha kila baya liwe la Ukristo nimetoka kuwadharau sana. Nimekulia Moro na Tanga kwenye waislam wengi na nilikuwa nawaheshimu sana ila sasa, Dah nawaona vilaza. Sababu reasoning capacity yenu ni ndogo sana. Mfano kwenye hili jambo la kusema Wakristo ndio huwa wanarecord misibani na ndio utaratibu wa dini yao. Nimekuuliza wapi utaratibu huo umewekwa rasmi kwa wakristo?Je picha nikakutolea na mfano hizo hapo juu zimerekodiwa na nani kwenye mazishi ya muislam? Unaweza sema kuna mkristo akaenda simama mbele ya mashehe hao na kurekodi picha na video?very loweka and Pathetic. Byeeeee.
 
Binafsi nimeoa muislam na Dada yangu ameolewa na muislam ila toka suala la Dp world lianze na namna mnavyolazimisha kila baya liwe la Ukristo nimetoka kuwadharau sana. Nimekulia Moro na Tanga kwenye waislam wengi na nilikuwa nawaheshimu sana ila sasa, Dah nawaona vilaza. Sababu reasoning capacity yenu ni ndogo sana. Mfano kwenye hili jambo la kusema Wakristo ndio huwa wanarecord misibani na ndio utaratibu wa dini yao. Nimekuuliza wapi utaratibu huo umewekwa rasmi kwa wakristo?Je picha nikakutolea na mfano hizo hapo juu zimerekodiwa na nani kwenye mazishi ya muislam? Unaweza sema kuna mkristo akaenda simama mbele ya mashehe hao na kurekodi picha na video?very loweka and Pathetic. Byeeeee.

Wanaoenda kuzika kwenye misiba ya kiislam wote ni waislam? Na wanaoenda kuzika misiba ya kikristo wote ni wakristo? Kama kuna mchanganyiko kitu gani kilichothibitisha kwenye hiyo picha uliyotuma kama aliyepiga ni mkristo au ni muislam?
 
Wanaoenda kuzika kwenye misiba ya kiislam wote ni waislam? Na wanaoenda kuzika misiba ya kikristo wote ni wakristo? Kama kuna mchanganyiko kitu gani kilichothibitisha kwenye hiyo picha uliyotuma kama aliyepiga ni mkristo au ni muislam?
Unanipotezea muda mkuu, byeeeee umeshinda basi jaribu kuficha uchi wa akili yako. Hivi kuna mkristo aliyeemda kuzika muislam akaenda kupiga picha ya namna hiyo mbele ya mashehe kweli. Bro usitumie makalio kufikiria kwa sababu ya udini. Sijui kwanini kila jambo baya mnausingizia Ukristo? Jamaa mmoja mpagani kule Sweden kuchoma quran lawama inapelekea kwa Ukristo. Jamaa zikioana dume kwa dume, ushoga unalaumiwa na kuhuzunishwa na Ukristo. Juzi TEC wameandika waraka wao na hawajataja dini wala kumtaka mtu, unahusishwa na Ukristo. Sijui kwanini mnalazimisha uadui kwa imani isiyojuhusisha nanyi? Nikisimama barabarani na kuhubiri kuwa Yesu ni Mungu, nitatukanwa na kugombea bila kosa. Leo mwamposa anafanya huduma yake ila kila siku mashehe kumuita Nabii wa uongo. Mungu awasaidie kwa kweli.
 
Back
Top Bottom