Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Majitu kwa chuki? Alikiba alikua anauliza NYIE NI WAKRISTO KWELI? YAANI BADALA YA KUWA BIZE NA MSIBBA wao wapi bize kutandika maphotp koitu ambacho si ukristo
Mkuu hupo? Ni kitambo umepotea jamvin. Unazunguka tu kwenye kiti pupwe likikupuliza ofisini picha ya mama ikining'ia mbele yako ukutani kwa juu kidogo.

Ama bado huko mafia unavua Ngadu?
 
HAWA WASWAHILI HAWAMJUI YESU KRISTO WANAMJUA ALA SHETANI WA KUZIM....!!!!!!!
 
Neno kafiri limeandikwa miaka 3000 kabla ya Kuanzishwa kwa UISLAMU na kuja MTUME MCHENZI......
Ndio maana nakuita kubwa jinga asili ya neno Kafiri ni kiarabu na lina maana yake Kilugha na Kisheria .Huwezi kuelewa maana na matumizi sahihi ya hilo neno kama haujui Kiarabu.
 
Ndio maana nakuita kubwa jinga asili ya neno Kafiri ni kiarabu na lina maana yake Kilugha na Kisheria .Huwezi kuelewa maana na matumizi sahihi ya hilo neno kama haujui Kiarabu.

Pole sana mgonjwa

Hujui kiswahili na kimetohoa maneno ya KIARABU?????
 
Endelea kuswali na Majini yako.

TAHIRAaaaa wewe mi nilisha kuona JINGA LAO... OOOO.... OOOO
 
Siku za hivi karibuni kumetokea Msiba wa msanii wa kike wa Bongofleva Haitham. Na mazishi hayo yamefanyika jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri na wasanii mbalimbali na mmoja wao akiwa msanii Ali Kiba.

Wakati wa mazishi kuna kitendo ambacho kimetokea ambacho kimepeleka Ali Kiba kutoa kauli ambayo sio nzuri au inayoonekana kudharirisha Dini ya Wakristo. Mimi binafsi kama Chief Lumanyika nimechukia sana na kupelekea kwenda kwenye Account yake ya instagram na kumu-unfollow hili nisiwe naona post zake.

View: https://youtu.be/C3rMRxBCXRU?si=giuRLLh1MAzofSfh
Kitendo hicho cha kukashifu Dini ya Wakristo kimetokea ambapo kwenye Video watu wanaonekana wapo kwenye mazishi na hatua za kuzika mwili wa marehemu ambapo Ali Kiba aliona kama anarekodiwa na watu, ambapo akaonekana kustaajabishwa na kutoa kauli ya "Nyie ni wakristo?", Akiwauliza vijana ambao ndio walikuwa wakimrekodi Ali Kiba hapo msibani.

Kutumia neno "Nyie ni wakristo", ni Disrespect na ni kitendo cha kumaanisha kuwa Dini ya wakristo ndio ya wafanya uovu, au ya watu wasiofaa, au ya watu wa ovyo. Kwamba Wakristo sio watu wa kuheshimu Mazishi. Cha kushangaza Tanzania ni nchi yenye Dini nyingi wakiwemo wapagani, lakini kitendo cha yeye kusema moja kwa moja kuwa nyie ni wakristo bila ya kujua hao watu anaowauliza ni Dini gani ni kutokuheshimu Dini ya kikristo. Kwa sababu Tukio hilo lingeweza kufanywa na mtu yeyote hata ambaye ni Muislamu ambaye ni wa Dini yake, budha au mpagani.

Kauli hii ya Ali Kiba pia imezua hoja mitandaoni kupelekea watu kuchukizwa na Kauli hii, na moja ya account ambayo nimeona watu wamechukua ni kwenye Instagram page ya Bongotrending Habari.

Hakuna sehemu yoyote kwenye Dini ya wakristo wanaposema tuwarekodi watu kwenye mazishi au wakiwa msibani. Hivyo hata ikitokea mkristo anarekodi mazishi, basi hiyo ni hulka yake binafsi na haina uhusiano wowote na Dini ya kikristo.

Ali Kiba anapaswa kuomba Radhi au Wakristo tuanze kuzisusia nyimbo zake kama jinsi wasanii wa Marekani na nchi nyingine wanavyofanyiwa wakizingua. Mimi staki kumuona tena, nimefuta hata nyimbo zake.

Ebo ! Mimi nilidhani katukana.Kwani Ukiristo ni tusi ? Mimi nildhani ni sifa kuwa mkiristo na kupaswa kujivunia hilo.
 
Mkuu tuache uzi wa watu uendelee, hili sio la mleta uzi...

Mistari katika Biblia iko mingi sana na haki inayotajwa nimeeleza kwenye comment iliyopita...

Asiye haki =kafir
Aliye haki = non kafir

karir hapa ina maana kama ambavyo uislam unatafsiri maana ya kafir...
Hiyo ni tafsiri yako wala neno Kafiri halimaanishi kama ulivyotafsiri wewe,
Kila kiumbe kina haki yake na riziki yake ndio maana Mungu huwapa riziki hata wale wasiomtii,

Nilijua tu usingeweka hapa bandiko nililokuambia coz hilo bandiko halipo.
 
Chifu Lumanyika sisi Wakristo wa kweli hatumaindi vitu vidogo vidogo kama hivyo.
 
Siku za hivi karibuni kumetokea Msiba wa msanii wa kike wa Bongofleva Haitham. Na mazishi hayo yamefanyika jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri na wasanii mbalimbali na mmoja wao akiwa msanii Ali Kiba.

Wakati wa mazishi kuna kitendo ambacho kimetokea ambacho kimepeleka Ali Kiba kutoa kauli ambayo sio nzuri au inayoonekana kudharirisha Dini ya Wakristo. Mimi binafsi kama Chief Lumanyika nimechukia sana na kupelekea kwenda kwenye Account yake ya instagram na kumu-unfollow hili nisiwe naona post zake.

View: https://youtu.be/C3rMRxBCXRU?si=giuRLLh1MAzofSfh
Kitendo hicho cha kukashifu Dini ya Wakristo kimetokea ambapo kwenye Video watu wanaonekana wapo kwenye mazishi na hatua za kuzika mwili wa marehemu ambapo Ali Kiba aliona kama anarekodiwa na watu, ambapo akaonekana kustaajabishwa na kutoa kauli ya "Nyie ni wakristo?", Akiwauliza vijana ambao ndio walikuwa wakimrekodi Ali Kiba hapo msibani.

Kutumia neno "Nyie ni wakristo", ni Disrespect na ni kitendo cha kumaanisha kuwa Dini ya wakristo ndio ya wafanya uovu, au ya watu wasiofaa, au ya watu wa ovyo. Kwamba Wakristo sio watu wa kuheshimu Mazishi. Cha kushangaza Tanzania ni nchi yenye Dini nyingi wakiwemo wapagani, lakini kitendo cha yeye kusema moja kwa moja kuwa nyie ni wakristo bila ya kujua hao watu anaowauliza ni Dini gani ni kutokuheshimu Dini ya kikristo. Kwa sababu Tukio hilo lingeweza kufanywa na mtu yeyote hata ambaye ni Muislamu ambaye ni wa Dini yake, budha au mpagani.

Kauli hii ya Ali Kiba pia imezua hoja mitandaoni kupelekea watu kuchukizwa na Kauli hii, na moja ya account ambayo nimeona watu wamechukua ni kwenye Instagram page ya Bongotrending Habari.

Hakuna sehemu yoyote kwenye Dini ya wakristo wanaposema tuwarekodi watu kwenye mazishi au wakiwa msibani. Hivyo hata ikitokea mkristo anarekodi mazishi, basi hiyo ni hulka yake binafsi na haina uhusiano wowote na Dini ya kikristo.

Ali Kiba anapaswa kuomba Radhi au Wakristo tuanze kuzisusia nyimbo zake kama jinsi wasanii wa Marekani na nchi nyingine wanavyofanyiwa wakizingua. Mimi staki kumuona tena, nimefuta hata nyimbo zake.

Wewe una Matatizo binafsi Kama Sio una stress, Kwahiyo unaona Umemuadhibu?
Alikiba kakosea lakini hilo si jambo la kutilia maanani kias cha kukuumiza ubongo ni Fault ndogo ndogo sana hizo ukiweka Mahaba ya Udini Pembeni hiyo wala si issue ya Kujadili ni ya Kupuuza tu.
 
Hukionagi kama kichokoraa fulani kinajishaua hakina hata lolote anadharau na huku anamtegemea Mo yaani tz hakuna wakunitisha wote ni maskini tu sema wapo kidaraja huyo sio superstar huyo ni mwehu na mchukiaga sana . Kina sura kama kenge mbuzi hata ukiamua kumpika haivi haliki kwa kachumbari au nini .

Mke wake kasepa kanatunzwa ni kamario kazee
Acha Majungu, Aliwah kukukataa nini? Mnapenda wanaume mikia ya Mbwa ndo mjione wa thamani.
 
Hukionagi kama kichokoraa fulani kinajishaua hakina hata lolote anadharau na huku anamtegemea Mo yaani tz hakuna wakunitisha wote ni maskini tu sema wapo kidaraja huyo sio superstar huyo ni mwehu na mchukiaga sana . Kina sura kama kenge mbuzi hata ukiamua kumpika haivi haliki kwa kachumbari au nini .

Mke wake kasepa kanatunzwa ni kamario kazee
Umeandika kama mtu aliyepeleka akili zake likizo na kutembea na kiwiliwili tu.
 
Back
Top Bottom