Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Kuna Dini fulani watu wake wengi wana chuki na Dini nyingine, hawakai bila kutaja Dini ya wenzao, wabaguzi sana.
 
Ila mwamba una complicate sana mambo asee. Acha kupeleka Kila kitu kwenye negative mkuu.

Maisha sio magumu kihivi mkuu

By the way unahisi kwa bandiko lako hili unaweza convince watu kususia nyimbo za Ali just like that? Huwajui wabongo wewe
Dini ni kitu sensitive sana, ndio maana, kama Dini ni kitu cha kawaida ebu pitisha Nguruwe msikitini alafu wakikuuliza wajibu hivyo kuwa Wanapenda ku complicate mambo ndio utajua hujui... Mimi siko hapa kuwaambia watu kususia nyimbo bali tumechukizwa na kauli yake hiyo ya kuonyesha kuwa Wakristo ni watu wa ajabu
 
Ukristo sio dini mpuuzi wewe
 
Ni kweli wakristo tunapenda kirekodi misiba wala hajakosea kiufupi tunazingua
Hakuna mkristo ambaye anayerekodi msibani... ukristo hausemi turekodi msibani, mkristo yoyote anayerekodi msibani hiyo ni hulka yake binafsi... Hata hivyo Dini zingine pia wanarekodi msibani... Hata YouTube zipo video nyingi tu za misiba ya waislamu wanarekodi, na hao utasema ni wakristo...
 
Mtoto wa kiume acha kuweka vinyongo sijui ume-mfollow sasa inasaidia nn?

Kama umechukua acha kusambaza chuki pia utajua maana zaidi kama alikuwa na nia mbaya au laah?
Kumu-unfollow imenisadia mimi binafsi, kwa sababu maamuzi ni yangu ya kipi nione na kipi nisikione... Siwezi kutizama mambo ya mtu anayekashfu Dini yangu
 
Mbona mfano haupo kwani huyo jamaa alikuja kanisani kwenu kusema hivyo?

Unapelekaje nguruwe msikitini?
 
Wivu tu unakusumbua.
 
Kumu-unfollow imenisadia mimi binafsi, kwa sababu maamuzi ni yangu ya kipi nione na kipi nisikione... Siwezi kutizama mambo ya mtu anayekashfu Dini yangu
Sasa maamuzi yako ni mazuri ila ujinga ni kutaka watu nao wamchukie..
.Wewe ni muumini wa dini wala sio mmiliki wa dini pia jaribu kufuatilia ufafanuzi kwa nn kasema hivyo.
 
Mleta mada wala huelewi ulichokiwakilisha hapa,unaendeshwa na chuki tu,umesema Kiba kauliza "Nyie ni wakristo?" Hilo ni swali kauliza na sio hoja,wewe umejuaje kua hilo swali kaliuliza kisa kupigwa picha? Kumbe angeuliza "nyie wapagani?" Au "Nyie waislamu?" Wewe ndio ungeona sawa?
 
Sasa maamuzi yako ni mazuri ila ujinga ni kutaka watu nao wamchukie..
.Wewe ni muumini wa dini wala sio mmiliki wa dini pia jaribu kufuatilia ufafanuzi kwa nn kasema hivyo.
Hizo ni falsafa zako... Kuleta habari humu ni kuonyesha kwa namna gani msanii kubwa ambae unawafuasi wengi wa Dini tofauti tofauti hutakiwi kutoa kauli za kudharau dini za wengine.

Uzito wa Dini unategemea na Imani yako, sasa sio kwa kila mtu Dini ni nyepesi kama wewe unavyoichukulia... Ndio maana hata yule aliyechana Quran alipostiwa na vyombo vya habari, mbona hukutoka na kukataza wasiposti kuaminisha watu ujinga wa kumchukia huyo bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…