Sina mkuu labla kwenye kitovu....Mbona naona k
Mbona nao kovu moja tu,inama mwenzetu kwenye mwili wako huna hata kovu moja?
Inaonekana unamfaham vyema sawia, unya any contact zake au anatumia jina gani kwenye social network mkuu??Huyo dem anaitwa caro ni mapepe balaa
povu beseni.Hadhi yake ni hipi?, kapewa kinachomstahiki na yeye mwenyewe yupo happy tu, si unaona full tabasamu na picha juu? Inakupasa uelewe kitu kimoja kaka, Nje ya Diamond hakuna Kiba, Kiba angeweza kulala sehemu nzuri endapo Diamond naye angekuwa kwenye hiyo trip, kwa chumba na kitanda kama hicho, hapo Kiba hana Tofauti na Aslay, Harmorapa nk
Mwaka jana alikuwa Dodoma kwenye show yake, shoo ilikuwa kwenye Bar ya Uswazi iabisa, na kulikuwa na spika mbili tu zilizowekwa juu ya Makreti ya bia, Mike zilikuwa mbili zilizounganishwa pamoja na Mpira,
Waza nje yankibox chako basi kama ni getho kwa demu jeTanzania kwasasa FESTA ni tamasha liloshika kasi na kupendwa na watu wengi kutoka na kuwa na Wasanii wengi wanaopendwa na watu Tofauti tofauti tofauti! Haina ubishi kwa kiingilio cha Elfu 9/10 ni watu wengi sanaa wanao ingia kwenye Show!
Kati ya wasanii waliopo kwenye Tamasha Hili ni pamoja na ALIKIBA! Kilicho nisikitisha ni baada ya kuona picha alizo piga alikiba Hotel aliofikia akiwa na Mdada inaesemekana ni MUUZA DUKA! Sasa nilicho kuwa najiuliza KWA KITANDA KILE na ukubwa wa show Je wasanii wetu hawa wanalipwa vizuri kwelii au wanafanyishwa kazi kwa malipo kidogo? kwa kitanda kile ni kwamba hawa wasanii wanalala kwenye hotel ambazo hazizidi elfu 25 kwa siku je hiyo ni hadhi yao kweli au wanaonewa?
kingine ni Je Alikiba Alipo kuwa anapiga picha yule inaesemekana ni Shabiki wake alifikiria kabla ya kutenda au alizimishwa na Meneja wake? Mana Wamepiga picha wakiwa nje wakiingia hadi chumbani picha zikaendelea swali ni Je ALIKIBA HAJAMLA YULE DADA KWELI?
Ila bado Mm nasema kile KITANDA sio Hadhi ya ALIKIBA na msanii mwingine yeyote! Si kitakuwa kinapiga kelele! HAPANA FIESTA badirisheni Utaratibu kama MWANZA wanalala sehemu ile Je KIGOMA watalala sehemu Gani?View attachment 594895View attachment 594896View attachment 594898View attachment 594900View attachment 594903
Akikubali kuwa na chura kesho asije kataa tukisema anakisimaAmnunulie RAV 4 tu, mbona shangazi yuko poa au amuoni chura hiyo?
Wengine lazima wamesukumiswa tuToto lipo natural hadi makovu limeyaachia,halijayapiga msasa
Wengine lazima wamesukumiswa tuToto lipo natural hadi makovu limeyaachia,halijayapiga msasa
Hata mbuzi anayo, mie chura tu hiuo mkuummmh kakomaa sura
Na wewe umeona hicho ni kitanda kweli au kochi????
Ndio mana hata viongozi wetu wanasaini mikataba bila kusoma hiii ndio hulka ya watanzania
Mleta post hauko sahihi hicho sio kitanda ni kochi na Kiba hakupiga picha moja kapiga picha na mashabiki wake wengine sehemu hiyo hiyo
NB😛hoto nimenyonya kwa page ya dengue.
Hata demu hana hadhi yake ukiachilia mbali kitanda......huyu kibakuli ameshuka hadhi ghafla sana
Watu ni wanafiki jamani hahaha tayari mtoa post ameshajulikana ni MTU wa kijiwe gani na alikua na lengo gani,Asante re Professor kwa kutuondolea hawa wapuuzi wanaogombanisha wasanii wetuMleta post hauko sahihi hicho sio kitanda ni kochi na Kiba hakupiga picha moja kapiga picha na mashabiki wake wengine sehemu hiyo hiyo
NB😛hoto nimenyonya kwa page ya dengue.