Alikiba unayofanya/kufanyiwa si hadhi yako

Alikiba unayofanya/kufanyiwa si hadhi yako

Hadhi yake ni hipi?, kapewa kinachomstahiki na yeye mwenyewe yupo happy tu, si unaona full tabasamu na picha juu? Inakupasa uelewe kitu kimoja kaka, Nje ya Diamond hakuna Kiba, Kiba angeweza kulala sehemu nzuri endapo Diamond naye angekuwa kwenye hiyo trip, kwa chumba na kitanda kama hicho, hapo Kiba hana Tofauti na Aslay, Harmorapa nk
Mwaka jana alikuwa Dodoma kwenye show yake, shoo ilikuwa kwenye Bar ya Uswazi iabisa, na kulikuwa na spika mbili tu zilizowekwa juu ya Makreti ya bia, Mike zilikuwa mbili zilizounganishwa pamoja na Mpira,
povu beseni.
 
Tanzania kwasasa FESTA ni tamasha liloshika kasi na kupendwa na watu wengi kutoka na kuwa na Wasanii wengi wanaopendwa na watu Tofauti tofauti tofauti! Haina ubishi kwa kiingilio cha Elfu 9/10 ni watu wengi sanaa wanao ingia kwenye Show!

Kati ya wasanii waliopo kwenye Tamasha Hili ni pamoja na ALIKIBA! Kilicho nisikitisha ni baada ya kuona picha alizo piga alikiba Hotel aliofikia akiwa na Mdada inaesemekana ni MUUZA DUKA! Sasa nilicho kuwa najiuliza KWA KITANDA KILE na ukubwa wa show Je wasanii wetu hawa wanalipwa vizuri kwelii au wanafanyishwa kazi kwa malipo kidogo? kwa kitanda kile ni kwamba hawa wasanii wanalala kwenye hotel ambazo hazizidi elfu 25 kwa siku je hiyo ni hadhi yao kweli au wanaonewa?

kingine ni Je Alikiba Alipo kuwa anapiga picha yule inaesemekana ni Shabiki wake alifikiria kabla ya kutenda au alizimishwa na Meneja wake? Mana Wamepiga picha wakiwa nje wakiingia hadi chumbani picha zikaendelea swali ni Je ALIKIBA HAJAMLA YULE DADA KWELI?

Ila bado Mm nasema kile KITANDA sio Hadhi ya ALIKIBA na msanii mwingine yeyote! Si kitakuwa kinapiga kelele! HAPANA FIESTA badirisheni Utaratibu kama MWANZA wanalala sehemu ile Je KIGOMA watalala sehemu Gani?View attachment 594895View attachment 594896View attachment 594898View attachment 594900View attachment 594903
Waza nje yankibox chako basi kama ni getho kwa demu je
bb9237c30bd02a1883491cb9f6a87007.jpg
 
Ni hadhi yake ndio,..af wabongo sjui mkoje,hiv hawa wasanii wetu mnadhan wana sh ngap?hawa wasanii wetu ni njaa kali,msione magar wanayotembelea na nguo na mapicha na video kali,..magar meng sio mapya yaan wananunua kupatana,..nguo ndo hvyo,nyumba hawana,inshort wana hustle,mi nna washkaj wangu weng wasanii na had wanakoish naenda sana,nawajua vilivyo,hunambii kitu,..so HYO KITANDA NI HADHI YAKE KABSAAA.
 
HUYU MTOA MADA AMEANZA VIZURI SAANA,NIKAJUA ATAONGEA KITU KINACHOENDANA NA KAZI YAKE HUYO ALI KIBA,,,KUMBE ANALALAMIKA ATI DEM MUUZA DUKA HAFANANI NAE.MARA KITANDA.
JE ULITAKA APIGE PICHA NA WEWE?
JE ULITAKA AKUTONGOZE WEWE?
KITANDA KIPI CHENYE HADHI??AU MMESHAZOEA WASANII WENYE KUJIPROUD ANAZUGA KUPIGA MAPICHA KTK KITANDA KIZURI.HLF KWA BAADAE HATA HELA YA HIO HOTELI HANA,KULIPIA HICHO CHUMBA.
KIBA MTT MTAANI HANA NYODO.KAMA CASH ANAYO.KAMA JINA ANALO KAMA KIPAJI ANACHO...
ACHENI ROHO ZA KWANINI..
KIBA MTU WA WATU HAMDHARAU MTU JUU YA UWEZO ALIONAO..
TATIZO MLISHAZOEA WASANII WENYE NYODO.
Mfano hai,,,,Dai alikua na mwanamke nzuri milionea.Leo huyo mdada yukwapi??pamoja na uzuri wake na Pesa zake..
"
DONT MESS WITH KIBA"

We Pambana Na Hali Yako Tu
 
Hata demu hana hadhi yake ukiachilia mbali kitanda......huyu kibakuli ameshuka hadhi ghafla sana


Shabiki ni sawa na mteja awe na hadhi asiwe na hadhi ili mradi anakuletea Pesa kwenye kazi zako.

me kwangu mteja ata awe kichaa namuudumia nakuonyesha thaman ile ile ya wateja wengine.
 
Mleta post hauko sahihi hicho sio kitanda ni kochi na Kiba hakupiga picha moja kapiga picha na mashabiki wake wengine sehemu hiyo hiyo
0a9a1335a35388110727d809fe03cd3b.jpg
b45d31dcc7b84d8e952dd426b54e44ac.jpg
c88541f7e1f5dfdabd114a25b35f4722.jpg

NB😛hoto nimenyonya kwa page ya dengue.
Watu ni wanafiki jamani hahaha tayari mtoa post ameshajulikana ni MTU wa kijiwe gani na alikua na lengo gani,Asante re Professor kwa kutuondolea hawa wapuuzi wanaogombanisha wasanii wetu
 
Back
Top Bottom