Alikiba unayofanya/kufanyiwa si hadhi yako

Alikiba unayofanya/kufanyiwa si hadhi yako

Hili demu nimelielewa aisee dah.... Sema muonekano wake kama ana makovu makovu lina ngwengwe nini....

Mwenye mawasiliano na huyu demu tafadhali ani pm number zake...

Mengine nawaachieni sijaona point kwenye maelezo ya mleta mada..... Nimeona point tu tena za muhimu kwenye hizo picha.....
 
Mbona naona k
Hili demu nimelielewa aisee dah.... Sema muonekano wake kama ana makovu makovu lina ngwengwe nini....

Mwenye mawasiliano na huyu demu tafadhali ani pm number zake...

Mengine nawaachieni sijaona point kwenye maelezo ya mleta mada..... Nimeona point tu tena za muhimu kwenye hizo picha.....
Mbona nao kovu moja tu,inama mwenzetu kwenye mwili wako huna hata kovu moja?
 
Mbona hicho siyo kitanda jamani ni sofa, angalieni vizuri hicho siyo kitanda
 
Siyo kitanda kochi tena za gharama tu kwa bongo Nina ujuz Wa mambo ya hotel kama kuna kochi aina hii hiyo hotel siyo hadhi ya chini kiviiiile sema kamera man kazoom mno kwahiyo hata uzuri wa eneo unakuwa 0%....kuna mabinti wana viherehere jaman hapo utakuta alilazimishia hasa kupiga picha na kiba sidhan kama aliachwa salama....
 
Dah kweli hakina hadhi yake aisee

Hadhi yake ni hipi?, kapewa kinachomstahiki na yeye mwenyewe yupo happy tu, si unaona full tabasamu na picha juu? Inakupasa uelewe kitu kimoja kaka, Nje ya Diamond hakuna Kiba, Kiba angeweza kulala sehemu nzuri endapo Diamond naye angekuwa kwenye hiyo trip, kwa chumba na kitanda kama hicho, hapo Kiba hana Tofauti na Aslay, Harmorapa nk
Mwaka jana alikuwa Dodoma kwenye show yake, shoo ilikuwa kwenye Bar ya Uswazi iabisa, na kulikuwa na spika mbili tu zilizowekwa juu ya Makreti ya bia, Mike zilikuwa mbili zilizounganishwa pamoja na Mpira,
 
Mleta post hauko sahihi hicho sio kitanda ni kochi na Kiba hakupiga picha moja kapiga picha na mashabiki wake wengine sehemu hiyo hiyo
0a9a1335a35388110727d809fe03cd3b.jpg
b45d31dcc7b84d8e952dd426b54e44ac.jpg
c88541f7e1f5dfdabd114a25b35f4722.jpg

NB😛hoto nimenyonya kwa page ya dengue.
 
Hadhi yake ni hipi?, kapewa kinachomstahiki na yeye mwenyewe yupo happy tu, si unaona full tabasamu na picha juu? Inakupasa uelewe kitu kimoja kaka, Nje ya Diamond hakuna Kiba, Kiba angeweza kulala sehemu nzuri endapo Diamond naye angekuwa kwenye hiyo trip, kwa chumba na kitanda kama hicho, hapo Kiba hana Tofauti na Aslay, Harmorapa nk
Mwaka jana alikuwa Dodoma kwenye show yake, shoo ilikuwa kwenye Bar ya Uswazi iabisa, na kulikuwa na spika mbili tu zilizowekwa juu ya Makreti ya bia, Mike zilikuwa mbili zilizounganishwa pamoja na Mpira,
Duh
 
Back
Top Bottom