Alikiba wa unforgettable tour

Kuna watu wanaumia na moment za Alli Kiba... hapo kwenye huo msafara kungekuwa na watu 20 wangekuja kusema hana mvuto lakini mfalme kakusanya kijiji bado wanaumia kwani tatizo nini jamani? Yete kishaamuwa kuwa local Musician mwacheni nyiye endeleeni kumsapoti huyo International Musician huyu King tuachieni tunayempenda
 
Tatizo nimoja kunawatu wameaminishwa nakukubali .. kama tanzania kunamsanii mmoja .. tu ..so wenyewe hawataki .. kuona msanii mwingine akifanya makubwa .. mpaka wamekubali kudanganywa kuwa nimsanii mkubwa Africa kiufupi . Wanasema international levels wakati akitoa nnje ya Africa hana hata level ya rema ... ndomaana kila siku wanatengeneza chuki na wasanii wengine .. ukisema .. marioo mkali hakuna anayebisha kwakua wanajua marioo yupo chini kimziki .. sasa sema alikiba au harmoniz hapo utatukanwa mpaka utajiuliza hawa ni wake zake au maana sio kwa mahaba hayo...
 
Sawaaaaaa[emoji252][emoji91][emoji91][emoji91]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji881]
 
Baadhi ya wishes zilizo tolewa kwake [emoji252]
 
Wala sija edit n uhalisia. Ingia kwenye video tazama then. Njoo ukoment na Kama we unayo hiyo ya watu 10 post tuiyone[emoji849]
Nikipost mimi ntampa boost na kiki na watu wataenda kuangalia video yake ya mshumaaa ambayo imezidiwa hadi na ya rayvanny ya I love you ko DIAMOND BABA LAO OK.
 
Na jinsi zile media zinavyomjaz ujinga wa kumuita king ndo na yy anaon kashaua kila kitu..
 
Haki naamini. Sjui tumsaidieje
Umsaidie vp mtu aliyemaliza kila kitu katika muziki?
Ajabu Psquare,Chameleone wanadunda tu.
Dogo karidhika tu na anachopata no more hustling.
He has done with hustling long tyme.
Diamond ndo wakati wake huu kuhustle.
 
Umsaidie vp mtu aliyemaliza kila kitu katika muziki?
Ajabu Psquare,Chameleone wanadunda tu.
Dogo karidhika tu na anachopata no more hustling.
He has done with hustling long tyme.
Diamond ndo wakati wake huu kuhustle.
Sawaaaaaa [emoji252][emoji881]
 
Daaaaaaaaaah yaaani miaka 33,wakati anaelekea 45+ kweli apendi showoff ya miaka yake na ndo mana kadanganya DIAMOND BABA LAO.
[emoji23][emoji23][emoji15][emoji15] mzeee mbona kila kitu chake hutak kukubali???
 
Nikipost mimi ntampa boost na kiki na watu wataenda kuangalia video yake ya mshumaaa ambayo imezidiwa hadi na ya rayvanny ya I love you ko DIAMOND BABA LAO OK.
Hater's bhna[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…