Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Tuanzishe tu hata kama uongo ili??
sasa mfungieni chambani kama mwali wa kizaramo, na ile sauti aliyosifiwa na arakeli aliofungia bank kwenye fixed acc, biashara ni matangazo jamani, term kiba acheni uvivu
Chambani
Term Kiba
Arakeli
Jamani wale term kiba vipi tena mbona hata mwezi bado no any uzi unaomuongelea huyo mpendwa wetu.
Habari ya mwana imeishia wapi?
Tupeni up date yupo wapi? show wapi? anapanga kufly kwenda kufanya show nchi ipi na ipi?
Eti jamani vitu kama hivyo, hata kama vya uongo nyie tuleteeni tuu, acheni kumdrop down.
Mimi nimeanza
hahahahahaha na umewachokoza kwel... wapi team kiba.
Kwasababu yye sio mtu wa kupenda mambi ya kipuuzi..
Unataka nae anaandkwa kuwa anafanya vikao vya harusi.??kahonga gari.??kakosana na mamake kisa amamke anatembea na dogodgo.???
Uyu kiba tangu amekua g.ay ni mzto sn.kwny tasnia ya mziki..msameeni tu
Uyu kiba tangu amekua g.ay ni mzto sn.kwny tasnia ya mziki..msameeni tu
Kwasababu yye sio mtu wa kupenda mambi ya kipuuzi..
Unataka nae anaandkwa kuwa anafanya vikao vya harusi.??kahonga gari.??kakosana na mamake kisa amamke anatembea na dogodgo.???