Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
- Thread starter
-
- #41
huo upepo utapita tuu
hata nature enzi zake alikua hvyo hvyoo
nature vs inspector haroun
afu kiba sio mtu wa skendo msanii wenu analazmsha umAarufu
tushamjua anasafria nyota za mademu bila skendo hana maisha
km mnabisha aache skendo afu tuone km atajulikana
mshambaaaaaaaaaaaaa
anapnda cheap publicity
pyeeeeeee eeeerrrr
akaaaa!!gari la nini mimi??? na wakati TZ eleven zangu zipo imara kama tanga cement, alafu ninavyoenjoy kupigania daladala siwezi eleza.
Hivii umeona mbwembwe zao hawaaa lakini kule kwenye birthday wana maigizooo
ndio zetu muda wote tupo location
Mi ndio maana siwaaminiii maana mpo kazinii
with exception of jana jamani looh!! yani jana tulikua real, na machapi si mliona etiii????
Nlikuwa namalizia dozi yangu ya ndimuu...si unajua kutwa mara tatuu...!
Hivii umeona mbwembwe zao hawaaa lakini kule kwenye birthday wana maigizooo
ndio zetu muda wote tupo location
mna maisha magumu
Mmmhhh...wabongo mmezidi majungu na uzushi...
Ww umejuaje kiba ni gay?????
Low mind
mna maisha magumu
akaaaa!!gari la nini mimi??? na wakati TZ eleven zangu zipo imara kama tanga cement, alafu ninavyoenjoy kupigania daladala siwezi eleza.
hahahahaa ninaharaka kama gari la zima moto, lakini sio kesi nia yangu ni kuwakumbusha tu team kiba jamani eeeh!!?? mpo wapiiiiiiii????? am curious!!!
Wee kugombania daladala rahaaa, tena ushanitia hamu...kesho naenda Mbagalaaaa.....!
Hata mlivyokua china mlisema ni movie na ya jana ilikua ni movieee tuu
Unazima jivu wewe......Kiba huwezi kumfananisha na huyo mbana pum.bu.Hakuna cha kujadili zaidi kupotezeana hamu ya chakula cha usiku.